Umewahi kuwaona viongozi wa serikali yako ya mtaa wakija kwenu kukuuliza habari ya maisha au hata kukujulieni hali zenu?
Ili muwaeleze yale yanayowasibu!
Sent using Jamii Forums mobile app
WanaJF,naomba msaada wenu.Nahitaji kujua wapi hapa Dar kwenye kituo kizuri cha Tuition kwa ajili ya maandalizi ya kufanya mtihani wa kidato cha sita,Kwa masomo haya :-
-Economic
-Geography na
-Mathematics
Kwa PC candidate?
Ahsante
Wanakijiji wa wilaya ya Mkuranga,Pwani wamepima maeneo yao na kuamua kuuza kwa bei rahisi sana.Viwanja vimepimwa vizuri,vimekatwa barabara za mitaa na vipo eneo zuri,mabomba ya maji yameshapitishwa kwenye barabara kubwa na za Mtaa.Eneo lipo
karibu na kigamboni.
Ukubwa wa kiwanja ni 20X20...
Wanakijiji wa wilaya ya Mkuranga,Pwani wamepima maeneo yao na kuamua kuuza kwa bei rahisi sana.Viwanja vimepimwa vizuri,vimekatwa barabara za mitaa na vipo eneo zuri,mabomba ya maji yameshapitishwa kwenye barabara kubwa na za Mtaa.Eneo lipo
karibu na kigamboni.
Ukubwa wa kiwanja ni 20X20...
Habari wadau JF,
Nimefikiria kuanzisha mradi wa kusaga, kukoboa na kupack unga na mchele ili niweze kuuza kwa watumiaji wa maeneo yote. Nilitembelea Supermarket moja nikaona namna vifungashio vilivyoandikwa na kujaribu kuongea na wahusika wakaniambia ili niweze kuwapelekea bidhaa yangu ni...
Habari wadau wa elimu, nimekuwa nikijiuliza sana juu ya hili lakini sikupata jibu lenye ukweli ndani yake.
Mfano, mimi nina degree/Masters ya engineering, baada ya kuona upepo mtaani hauko vizuri nikapata wazo la kusoma degree ya Mass communication au degree ya accountancy. Pengine kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.