Umewahi kuwaona viongozi wa serikali yako ya mtaa wakija kwenu kukuuliza habari ya maisha au hata kukujulieni hali zenu?
Ili muwaeleze yale yanayowasibu!
Sent using Jamii Forums mobile app
WanaJF,naomba msaada wenu.Nahitaji kujua wapi hapa Dar kwenye kituo kizuri cha Tuition kwa ajili ya maandalizi ya kufanya mtihani wa kidato cha sita,Kwa masomo haya :-
-Economic
-Geography na
-Mathematics
Kwa PC candidate?
Ahsante
Kama umemaliza kidato cha nne na una ufaulu wa kuanzia D nne ikijumuisha masomo ya sayansi basi Nenda D.I.T,kuna kozi inaitwa Multimedia and film making.Hiyo ina kila kitu kuhusu uchoraji,picha,video,muziki,matangazo,uchapishaji na graphics.
Hizo herufi hazipatikani kwenye lugha ya kiarabu, huenda katapeliwa na huyo mganga akiamini kuwa ndio amekuroga.
Zipo sababu nyingi zinazowapelekea wanawake kufanya hivyo kwa waume zao ambazo ni :-
-Mwanamke kutoka familia duni na kukosa fursa ya kutafuta kipato, akimtegemea mwanaume tu kuwa...
Haitetewi ili kuwahamasisha wanafunzi kuendelea kujihusisha na zinaa, Ngono ni mahitajio mojawapo ya mwanadam pindi inapofikia umri wa kushibisha hisia zake. Watafutiwe njia ya kuwawezesha waliozaa waendelee na masomo
Mwanafunzi wa shule ya msingi na sekondari akipata mimba ni big issue, lakini mwanafunzi huyohuyo akiwa certificate ujauzito kwake sio ishu!
Nilitegemea mtu mwenye mtazamo wa kuleta mabadiliko na mapinduzi ya viwanda angetilia mkazo sana suala la elimu, kwa kuwawekea utaratibu mzuri kwa kila...
MAAJABU YA CHUMVI
. weka kikaango jikoni
. Tia mafuta ya kupikia vijiko 3
. weka kitunguu saum kijiko 1
. Vunja mayai 8 ya kuku wa kienyeji
. weka CHUMVI kidogo sana kwenye mayai na ukoroge
. kisha miminia mayai hayo kwenye kikaango cha mafuta ya moto
. subiri yai likauke na uligeuze
. Yai...
Wasiwasi wangu mwisho wa kesi hii isije ikapelekea kupigwa faini ndogo kuliko pesa walizoiba, yule aliyetakatisha pesa takriban 1 bn, kapigwa faini 200 mil angalia maajabu haya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.