Tumefanya Makosa Kuwapeleka Watu Wazima Milembe Kwa Madai Kwamba Ni Machizi Na Mataahira Wakati Machizi Yenye Degree Yapo Humu Ndani.
Nakushauri Nenda Katumie Conc.Nucleus Then Utakuwa Mkatili Huko Kwa Wakatili Wenzako Sio Hapa Duniani.
Toa Hoja Za Msingi Wewe Kama Vipi Jikatae.
Mtazania mdau wa jamii forum ifahamike kwamba tangu mwanzo wa utawala awamu ya tano uanze chini ya usimamizi wa Mh.Dr.John Pombe Maghufuli kwa namna moja au nyingine moto wake unatia moyo.
Katika Utendaji Wa Kisiasa Na Kijamii Viongozi Wa Ngazi Mbalimbali Walijisahau Sana Hasa Katika Kutimiza...
Kama Katika Enzi Ya Kale Mschana Aliambiwa Kaz Yake Kulea Watoto Unadhan Atapata Wap Ridhiki Yake Kama Sio Kuomba?
Weken Mada Za Maana Na Sio Hizi Za Uchonganishi.
Hapana Kila Mtu Ana Hormone Zake Ila Mabadiliko Ya Maumbile Pamoja Na Vitu Vingine Inatoka Na Kuzidi Au Kupungua Kwa Hormone Katika Mwili Wa Binadamu.
Hata Wewe Unaweza Kuwa Na Mwonekano Wa Kike Kama Kunakuzi Kwa Hormone Za Testesterone.
Soma Kitabu Cha Biology Kidato Cha Tatu Katika Topic Ya...
Ni Kweli Kwa Unalolisema Ndugu Ila Kutokana Na Baadhi Ya Watu Kutawaliwa Na Ukoloni Mamboleo Itakuwa Ni Vigumu Kwa Watu Kuamini Serikali Na Hivyo Itawapeleka Katika Kuendelea Kuwaamini Hao Hao Wazungu.
Dunia Inahitaji Maombezi Kwani Sodoma Na Gomora Imerudi Tena Na Mwisho Wa Dunia Upo Karibu...
Kutokana Na Ufinyu Wa Kuelewa Nadhani Hao Mashoga Watajitangaza Tu Lakini Hii Inatokana Na Malezi Waliyoyapata Walipo Kuwa Watoto Pia Ni Saikolojia Imewakaliapembeni Hivyo Saikolojia Itumike Kuwaepusha Hususani Vijana Katika Wimbi Hili La Mapenzi Ya Jinsia Moja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.