Jana ilikuwa ni emergence na tumeomba radhi leo asubuhi kupitia Clouds FM na Upendo Radio njia ya umeme mkubwa ilikatika pale karume hivyo maeneo yote uliyoyataja ni kweli hayakuwa na umeme mpaka saa saba! So matukio kama hayo ambayo hayajapangwa ni vigumu kutoa taarifa mapema ndio maana...
Mkuu labda useme ni maeneo gani ambayo hayana umeme kwa wiki nzima? Kumekuwa na interuptions kadhaa kutokana na matengenezo ya kiufundi ambayo tumewapa taarifa ila hakuna sehemu ambayo imefululiza wiki nzima! Na pia huduma mbaya kwa upande labda ili niweze kukusaidia zaidi
Kuhusu kukatika kwa umeme tumekuwa tukitoa taarifa mapema na kwa yale makatizo yanayopangwa na yale ya dharula kutokana na hitilafu tumekuwa tukiwapa taarifa ya kuomba radhi kwa kupitia televisheni, magazeti na redio na hata kwa kutumia gari la matangazo. Tafadhali kama ukikosa huduma...
Tafadhali mkuu kama kuna muhudumu kwa wateja ambaye hajakujibu vizuri au kakufokea naomba utaje jina lake na ni kituo kipi cha emergency ambacho umepiga simu, na pia kama kuna malalamiko zaidi kuhusu ilala kuhusu huduma mbaya au kutosikilizwa kwa namba uliyoitaja basi tafadhali piga 0653062220...
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA UMEME MKOANI DODOMA.
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawatangazia wateja wake wa Mkoa wa Dodoma kuwa kumetokea hitilafu katika Transfoma kubwa inayosambaza Umeme katika mkoa huo na kupelekea Dodoma mjini na baadhi ya...
Binafsi napenda kusema ukweli kwamba kwa mtu asiyejua nini kinafanyika pale TANESCO anaweza akaongea maneno mabaya apendavyo, ila laiti angejua ninkiasi gani watu wanajitahidi kuhakikisha umeme unapatikana ikiwa ni pamoja na kufanya kazi usiku kucha ili tu umeme uwake wasingebaki kulaumu tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.