Utaje sifa zote km walianzia kwenye misssion town, km walisha kuwa wezi, km walisha kwepa kodi nk nk nk.
Pia uache ushamba mtoa mada , duniani kote kila mkoa una wenye nacho na wasiokuwa nacho hata kabla ya Yesu.
Naona mwanzisha mada analeta ajenda zake binafsi , anataka jf isaidie kumchafu mpambe wa rais, Mpambe wa rais anafaa kabisa na amedhibitishwa na walio mchagua.
Mahitaji makubwa ya ngono maanake nini???
Au watu wa kanda ya ziwa wa hisia za ngono kuliko sehemu nyingine
Mtafiti angesema kanda ya ziwa ina idadi kubwa ya watu ningemwelewa.
Asilimia 98% wanafunga ndoa wakiwa wamesha fanya tendo la ndoa
1% wanafunga ndoa hawaja fanya na zinadumu hizo ndoa.
1% wanafunga ndoa hawaja fanya na zinavunjika kabla kabisa kabisa kabla ya miaka mitano.
1.ktk nchi yetu tanzania waislam ni km 44% hawafiki 65% km wanavyo amini
2. Wasiokuwa na dini pia ni wengi ila hawa lalamiki hata siku moja.
3. Usitumie dini kuficha mipango ya kiovu ili waamini washawishike wa chukie viongozi na serikali .
4. Acha kukaa kijiweni na kwenye bao unahesabu...
Mleta mada upeo wako mdogo sana, wapo wazuri na wana phd, na ukizungumza nae utagundua hiyo phd ni halali yake, inategemea na malezi aliyokulia, nahajisikii kuwa ni wazuri,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.