Wasaalam, jana kulikua kuna zoezi la chaguzi ndogo za madiwani katika kata mbalimbali zenye uhitaji huo wa kikatiba kwa wakati huu. Lakini Chadema kususia chaguzi hizi madhara yake yamekua yakionekana waziwazi kwan ,kampeni hazivutii hata kidogo tena na hata idadi ya watu wanaojitokeza kupiga...
Habari za mida hii, nina imani nyote ni wazima kabisa. "ASIYEKUBALI UPINZANI WA MAWAZO NI PUNGUANI" JK NYERERE
Moja kwa moja niende kwenye mada juu ya uwekezaji kwende bandari zetu.
1. Uwekezaji umechukua sura ya udini, walio wengi kuunga hoja mkono hata wale ambao siku zote hupinga inayafanya...
nashauri nyuzi (thread) zijipange kwenye jukwaa husika kulingana na mda iliopostiwa yani (time setting) ,nikimaanisha tusiangalie utaratibu wa watu kujihusisha kwa idadi kubwa.kwani kuna nyuzi zinapostiwa zinakosa mivuto kwa watu wengi kwa kua tu sio za kinafiki na kimbea na zinakua na logic...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.