Jaman mbona mnamuandama sana bakhresa wa watu? Hivi kwa hali ya kawaida hapa nchin kweli wakitajwa matajiri ambao mali zao zinaonekana je humu ndani nani atatoka. Tusiwe na wivu wa kurudishana nyuma,tuwe na wivu wa maendeleo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.