Nd
Ndiyo hivyo boss...mm nilikimbia huo ujinga nkiwaacha....tena laki 1 halafu hawakupewa hata bima yenyewe...ukienda zahanati au hospital ya chuo unapewa panadol,mseto,magnesium,piriton,
Muongo sana wewe....ni cha 11 mwaka huu.....angalia google utaona...andika ""20best universities in Tanzania 2015/2016"" ni cha tatu kwa ukubwa Afrika....ukubwa wa kichwa...si wingi wa akili inaweza kuwa debe tupu haliachi...ku..... hyo ndo udom
acha kutudanganya cyo cha tatu 3 cha 11 kwa ubora wa elimu Tz.....ingia..google andika...""20best universities in Tanzania 2015/2016"".....ukubwa wa kichwa cyo wingi wa akili.....
Hapo kuna majipu makubwa sana tena hadi yananuka uozo ukianzia busha la utawala hadi kwenye serikali ya wanafunzi ni uozo.....Tatizo ni siasa yani udom si chuo kikuu bt ni mahali pa watu kufanya ubadhilifu wa pesa za serikali na za wanafunzi. ......eti bima ya afya sh.100000 bila aibu...
Tatizo la Udom ni siasa pumba....yani uongozi wote kuanzia utawala mkuu hadi kwa wanafunzi ni siasa zsizo maana. ni sana unasikia na kushuhudia wakufunzi wa udom wanagoma kuwa hawajalipwa fedha zao
Na pia kwenye vyuo bora 200 afrika hakipo kabisa bt kwenye ukubwa wa majengo utadhan Havard,,,udom ubao wa kuandikiwa hints umeoza haufai projector mbovu sana t
Tatizo siasa chuo kikuu ni ujinga....udom...uongozi haufai pamejaa ubadhilifu wa hali ya juu miundombinu muhim kama vyoo vya lecture room,thietres, havifai matumizi ya binadamu tena wasomi wazima.hii ni aibuu sana na bado kmezidi kushuka daraja..cyo university bora tu tu kngeitwa collage of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.