Mwanasheria wa Jeshi la Polisi amesema hakuna sheria inayolazimisha magari kusimama katika vivuko vya pundamilia kama hakuna mtembea kwa miguu anayesubiri kuvuka.
Aidha ameongeza kusema kuwa, kuwasha taa za ''hazard'' inamaanisha una dharura na unamruhusu aliye nyuma yako akuovertake na...
Habar zenu wakuu.
Miaka7 iliyopita nlikua na mwanamke tuliishi nae na tukapata watoto wawilii lakini ndani ya uhusiano huu pia tulienda kwa shehe tukafunga ndoa ili tupate cheti kwasababu hyu bibie ni mwalimu na alikua anataka apate uhamisho ahamie mjini kwani alikua akifundisha nje ya mjini...
Habar zenu wakuu.samahani mwenyekujua simu yangu Sony experia Z3+ inaconect vzuri Internet na kuingia vizuri play store ila niki download application,inaonyesha ule mstari wa kudownload Lakin haiendelei. Tatizo ninii?natanguliza shukrani
Kuna hivi vinywaji aina ya shark naviona vimezagaa mtaani huku arusha vinauzwa 1000.. Madai yao vinakaribia ku expare.. Wahusika embu litazameni kwa kina
Mwezi uliopita nilidrive hadi uganda,safari nilianza jioni kupitia namannga nikafika Kampala kesho yake saa nane mchana, kwakweli si kwamba hakuna askari njiani wapo ila niwakarimu kwa wageni wanauliza driving license na insuarance passport ukiwanavyo hivyo anakuruhsu unaenda na sii sehem zote...
Ni miaka 3 sasa ninakatwa elfu30 kila mwaka lakini sijawahi kupewa fire extinguisher.. Na nikikutana na askari wa barabarani wananiuliza iyo fire xtngsh na kama huna basi unalipishwa fine.mh waziri husika lione hili ni uonevu kwa wenye magari..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.