Ni wazi Dunia imebadilika sana hasa katika nyanja ya Sayansi na Teknolojia katika Karne ya 21 hii nilitegemea kuona Vyama vya Siasa vitoa Fomu kwa njia ya Mtandao ( Online ) kama vile ambavyo Wanafunzi huomba nafasi za kujiunga na Vyuo Mbalimbali lakini cha kushangaza hakuna hata Chama kimoja...
Gwambina Football Club yenye Maskani yake Misungwi, Mwanza hapo awali ilifahamika kama JKT Oljoro kabla haijabailishwa jina kuitwa Arusha United hatimae kuuzwa mwaka 2018 Tajiri wa Misungwi Ndg. Alexander Mnyeti hatimae imepanda Daraja kucheza Ligi Kuu Tanzania Bara musimu wa mwaka 2020/21 baada...
Hodii....
Sina budi kubisha hodi kwa sababu ndio naingia sehemu ngeni ambayo wenyeji wake wamekwisha andaa mazingira yake vizuri.Kwa mantiki hiyo ni lazima niombe utambuzi wenu kwangu ili tuwe nanyi pamoja.
Naombeni ushirikiano wenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.