Habari!
Mimi ni Creative Logo & Brand Identity Designer mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka mitano katika hii tasnia. Nimebobea katika kutengeneza professional, simple and clean logos kwasababu ninaamini logo ni image ya brand yoyote ile na itadumu kwa muda mrefu na pia itatakiwa kutumika katika...
Habarini wanajamvi.
Mnamo tarehe 17/10 kun tangazo la TCU lilisambaa kuhusu kufanya uhakiki. Lakini mimi nimejitahidi kutafuta namna ya kufanya lakini nimeshindwa. Kama kuna aliyeweza atujuze tafadhali.
Wakuu... mara kadhaa huwa napitia matatizo fulan na huwa natamani hata kulewa ili angalau niyasahau kwa muda mfupi. Lakini sijui ni tatizo au ni faida... kila nikinywa pombe kiasi chochote kile lakini silewi. Kuna siku nilikunywa konyagi mbili lkn sikulewa hata kidogo. Wataalamu wa haya masuala...
Chuo Kikuu cha Dodoma kimeendelea kuonesha jinsi kinavyojari wenye kipato cha chini. Kuna kitu kipya kimeleak. Kuanzia mwaka huu kama una mkopo chini ya 100% unaweza kufanya usajili kabla hujalipa ada kwa mkataba maalumu wa kukatwa boom. Njoo usome kijana... usisingizie kukosa ada.
Sample ya...
Habarini ndugu jamaa na marafiki. Mimi nimeamua kuachana kabisa na XXX. Lakini kuna zingine huja bila kukusudia kwamfano ktk mitandao ya kijamii. Hivyo naomba mwenye uelewa wa jinsi ya kublock hizo vitu sizihitaji kabisa. Au kama kuna app ya kufanya hivyo naomba tujuzane hapa.
Nakumbuka mbali pindi nikiiangalia hii picha. Inanikumbusha enzi hizo nipo darasa la nne..nilishika nafasi ya kwanza ktk mtihani wa nusu muhula...na zawadi hiyo nilipewa na shule kupitia mwalimu wa taaluma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Habari wakuu.. nina simu aina ya Samsung Galaxy Ace 4 neo. Tatizi ninalolipata ni speed. Sielewi tatizo ni lipi hasa. Je ni RAM? SOFTWARE VERSION? au nini? Suala la software ilikuwa ipo built na 4.2Jelly bean... nimeupgrade hadi 4.4 kitkat lakini sioni mabadiliko. Je, nifanyeje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.