Search results

  1. R

    CRDB: The most Inefficient Bank of all times

    Mm in Mteja wa CRDB hata Siku moja hawaja wahi kuniangusha. Kuna matawi ukienda unapata huduma mpaka unatamani usiondoke.
  2. R

    Tatizo la CRDB Simbanking

    Simbanking inarahisisha kwenye kufanya malipo mbalimbali. Ikitokea muamala umekwama Naamini hizi ni changa moto tu ambazo zinaweza kutokea kwenye Kampuni yoyote siyo CRDB tu. Hakuna biashara bila changamoto, na kupitia changamoto hizo ,kampuni au Biashara inaweza kufanya vizuri zaidi. Bigup...
  3. R

    Hili tangazo la NMB la Magufuli lipigwe stop

    Mfumo wa kuwa na mabenki mengi inasaidia kuwa na uhakika wa kupata Huduma za kibenki popote unapokwenda. Lakini sipati picha kukiwa na Benki moja!
  4. R

    Hili tangazo la NMB la Magufuli lipigwe stop

    Wananchi wengi tunaendesha maisha yetu kwa kupata mikopo kutoka benki, kama itabaki Benki moja tu, ni wazi maisha yetu yatatetereka kwakuwa riba itakuwa kubwa zaidi na tutashindwa kukopa, mwisho wa siku maisha yatakuwa magum na umasikini utazidi kutawala.
  5. R

    Hili tangazo la NMB la Magufuli lipigwe stop

    Banking Industry inatakiwa kupewa saport kubwa na kuhakikisha inafanya vizuri kwakuwa inachangia ktk ukuaji wa uchumi wetu. Mh. Rais anatakiwa ahakikishe benki ambazo hazifanyi vizur zinatafuta njia mbadala ili zifanye vizur na kuongeza pato la nchi.
  6. R

    Kuna haja ya Rais kuchunguza mchakato wa CRDB kushinda tenda ya kulipa mishahara ya serikali

    Ni vizur kukaa na kuwaza nifanye nn kujikwamua kiuchumi lakini sio kuwachukia au kuwafanyia fitna wale wenye mafanikio kiuchumi; Hii ni itakufanya uzidi kupoteza nafasi ya mafanikio. Benki ya CRDB inajina kubwa pia inamafanikio makubwa ukitafta mbinu ya kuichafua utapoteza nafasi zaidi ya kuifikia.
  7. R

    Kuna haja ya Rais kuchunguza mchakato wa CRDB kushinda tenda ya kulipa mishahara ya serikali

    Bank ya Crdb ni benki kubwa sana na yenye mtando mpana wanao mawakala wao kila kona na matawini yanayo tembea na wanakopesha kwenye kilimo mikopo mikubwa. Wanastahili sana kutunza hela na kusambaza hela ya selikali
  8. R

    Kuna haja ya Rais kuchunguza mchakato wa CRDB kushinda tenda ya kulipa mishahara ya serikali

    Bank ya Crdb ni benki kubwa sana na yenye mtando mpana wanao mawakala wao kila kona na matawini yanayo tembea na wanakopesha kwenye kilimo mikopo mikubwa. Wanastahili sana kutunza hela na kusambaza hela ya serikali
  9. R

    Kuna haja ya Rais kuchunguza mchakato wa CRDB kushinda tenda ya kulipa mishahara ya serikali

    Siku zote mti wenye matunda ndiyo hupigwa mawe. Bank ya CRDB ni Benki yenye mafanikio makubwa kutokana na huduma zake bora kwa jamii. Sishangai Benki hii ikisemwa vibaya.
  10. R

    Kuna haja ya Rais kuchunguza mchakato wa CRDB kushinda tenda ya kulipa mishahara ya serikali

    Leo mmeacha kumshambulia rais Magufuli mmehamia CRDB?
  11. R

    Dkt. Kimei(CRDB): Hali ya uchumi nchini ni tete

    Kuna njia nyingi za kuvutia wateja kwenye biashara; lakini kutoa taarifa ambazo sio sahihi ni kupotosha jamii. Hizo khabar sio za kweli. Kiufupi Dr.Kimei hajatamka maneno hayo.
  12. R

    Dkt. Kimei(CRDB): Hali ya uchumi nchini ni tete

    Jamani kuna njia nyingi za kuvutia wateja kununua magazeti. Kutoa taarifa ambazo sio za kwel ni kupotosha jamii. Dr.Kimei hakuongea hayo. Benki ya CRDB haijasitisha mikopo kwa sababu hizo. Mm ni mteja wao na Nina furahia huduma zao.
  13. R

    Walichotufanyia CRDB Mlimani City siku ya Krismasi

    Uko sawa kabisa, ninavyojua mimi na ndivyo hivyo ilivyo. SWIFT na TISS zote zinapitia BOT. Lakini pia kama mfanyabiashara makini unaweza kuomba huduma ya internet banking ukafanya transfers mwenye ukiwa home unakunywa kinywaji chako safiiii. Mimi mwenyewe natumia hiyo.
  14. R

    Mkurugenzi mkuu CRDB mulika tawi la Chamwino Dodoma

    Crdb wanajitahidi sana kwenye huduma zao, mimi naamini hizo ni changamoto tu za kibiashara.
  15. R

    Sikukuu. Karibuni sana

    Mh! haya ahsante, Ila nilitaman pilau.
  16. R

    CRDB acheni kuchezea pesa zetu wateja

    Mkatagogo, Kama unatumia mtandao wa Voda lazima uwe na salio la maongezi ndo uweze kutumia Simbanking ila kwa mitandao mingine sio lazima uwe na salio, Hata mimi imewahi kunitokea sana.
Back
Top Bottom