Nimegundua jamii forum ukiwagusa waarabu au wayahudi mjadala unakuwa mkali sana..
Mbaya zaidi matusi,kejeli na kashfa kibao juu ya imani za watu...
Wadau tambueni hizo jamii ni binadamu km wengine wanamapungufu yao km ulivyokuwa wewe mswahili...
NB: heshimu kila MTU...toa sifa na kosoa pale...
Mapenzi ya jinsia moja umeanza muda mrefu sana tangu karne ya 8. Bahati nzuri kipindi hiki hakukuwa na media kama sasa. Ni kipindi ambacho biashara ya utumwa ilishamiri sana.
Wanaume ndio walikuwa wanahitajika zaidi kuliko wanawake. Hivyo basi kutokana na kusafiri muda mrefu kwenye majahazi...
Nimesikia watu Fulani..maeneo Fulani wakisema mecca ndio katikati ya dunia...
Km ni kweli dunia ni spherical shape huo ukatikati unatoka wapi?
Namanisha sphere ina center kweli?
Nafikiri km katikati ni mecca basi dunia ni flat....
Nipe elimu hapo wale physical geography.....
"Nakumbuka shuleni tulisoma dunia inajizungusha" bwana we mtaongezea maneno siunajua enzi zetu divison5 @ naomba msaada kwa nini hatuhisi kuzunguka?
Kwa nini maji hayamwagiki baharini?
Kwanini hatujikuta tuko ulaya tule maisha maana uwezo wa kupata viza sijui passport maana sielewi hata...
Niko maeneo kumpa kampani rafiki wa karibu Erick anafunga ndoa mwezi 5 mwishoni. Sasa nimepata na mshangao tulivyoingia ndani kaambiwa mil5 baada ya kulialia katoa milioni 4 cash katika 5 milioni.
Wajomba wamekomaa hawakupunguza.. Jamani mimi naoa wiki ijayo nimelipa 70,000/= tu.
NB: Wajomba...
Ni ngumu kueleweka na ila kiasili sisi wanaume tumeumbwa kuwa na mke zaidi ya mmoja na kwa upande wa waislamu imehalalishwa ila kwa ndugu zangu wakristo ni mke mmoja tu na sina uhakika kama imeandikwa iwe hivyo wajuvi wa mambo wanielimishe.
Cha kushangaza wale wote wenye mwanamke mmoja...
Huwa najiuliza peke yangu sipati majibu...???????????
Kwanini wenzetu wa imani ile........ wanachelewa sana kuoa?
Unakuta wachumba wanakaa nyumba1..wanazaa hadi watoto by 35+ ndio ndoa hufuata ni kwanini?
Ni rahisi sana kuona walio hai wakimlaumu marehemu aliyejitoa uhai.
Kumbuka hata huyo unayemlaumu possibly amewahi kulaumu as u do.
Hii dunia ina mambo mengi sana ambayo husipokuwa makini na muwazi kwa rafiki au ndugu wa karibu utakuwa mmoja wao.
Amini nakuambia kuna watu wengi sana ambao huwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.