Shida ya Simba inasababishwa na katiba na mwekezaji
1.Pale Simba mo dewji ili billion 20 za uwekezaji aliweka lini??
2.Je matangazo ya bidhaa za Mohamed enterprises kwenye jezi ya Simba je wanalipa kiasi gani??
3.Uwanja wa Simba ulioko huku boko umefikia hatua gani??kwann uitwe mo...
Heshimu mawazo ya mtu,mbona unam-attack,heshimu mwanaume hiyo ndio hulka njema ya mwanamke,ukimwona mwanamke anamtukana mwanaume hivi ujue ni bomu,kwa akili zako Hauna Cha kumshauri huyu,we ni feminist mkubwa
Kiufupi we ni mjinga wa kuonewa huruma, ujuaji mwingine ni kujiaibisha, punguza ujuaji kwa vitu ambavyo huna utaalamu navyo,la sivyo unajishushia hadhi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.