Na mimi nina mtazamo kama huo, haiwezekani watu wakiwa wanakula kama kawaida hakuna shortage ya vyakula lakini wakifunga ndo magunia ya vyakula yanatokomea masokoni
Hii hata mimi nimeishuhudia sana, ila baada ya utafiti nikagundua kwamba kipindi cha mfungo watu wengu ndo wanakula zaidi maana wanachokifanya wanabadirisha ratiba toka asubuhi hawali wanakula jioni sana "kufuturu" ambayo mtu anaweza akala kiasi cha kuvimbiwa na anadamka mida mibaya kupiga tena...
Mimi nilimaanisha waalimu wa serikali. Nina data za baadhi ya waalimu, wahasibu, na madaktari. Tatizo lenu nyie ndo watu mnaowadharau waalimu kwamba hali yao ni ngumu huku mkiwa hamna data kamili. Mimi ninawafahamu wahasibu wa halmashauri za wilaya ambao maisha yao ni magumu kuliko baadhi ya...
Nia ya Zitto Kabwe siyo mbaya, ninapomuona ni mtoto ni pale anapotaka pesa zake ziwekwe kwenye account ya KDI ndipo anakosea kwani kwani kwa kufanya hivyo analiongezea majukumu bunge, kwanini asichukue hiyo pesa na aipeleke yeye? unapomuomba mtu akusaidie kazi fulani tegemea yes or no maana hilo...
Tatizo unachangia kitu usichojua, Katika M90, Milion45 ni mkopo na Milioni45 ni bure zitalipwa na Serikali, fanya uchunguzi usiwe shabiki nazungumza kitu ninachokifahamu.
Sijakataa hilo, kinachotakiwa ni hoja ndugu yangu. hata wewe jichunguze hapa ni jukwaa la great thinkers kwa hii comment yako jipime kama unastahili kuwepo humu jamvini, maana hutoi hoja umekaa kishabiki zaidi
Kwa hili natofautiana na Chadema na NCCR-Mageuzi, hapa wanatafuta umaarufu kwa bei chee, hivi mnafahamu kiasi wanachokigomea? posho ya kikao kwa taarifa yenu ni Tshs70,000 kwa siku, kwanini wasigomee Milioni90 za magari? Tusishabikie upuuzi NCCR sasa wanaonyesha hawana mwelekeo hiyo hoja ya...
Hii ni hatari, hebu ngoja tusikilizie kama kuna ukweli wowote, kwasababu sasa hivi namba husajiriwa obvious wahusika watakamatwa haraka sana, nchi yetu chini ya Utawala wa Chama cha Mapinduzi hatukuzoea kuuana
Mimi nadhani Lowassa kama Mwanasiasa mkongwe alitakiwa a-step down tu, kwasababu system haimtaki tena kwasababu kaichafua. sasa akimwaga ugali yeye itamsaidia nini? afanye kitu ambacho kitamfanya arudishe heshma yake na siyo kuwa na "moyo wa tukose wote"
Nimeisoma hiyo habaari mda si mrefu imenisiskitisha sana, hivi hii nchi mbona inashambuliwa kila kona? inakuwaje ndege inapakia mzigo mkubwa namna hiyo katika mazingira ya udhalula? alafu mbaya zaidi uchunguzi unafanyika kwa mda mrefu bila kuwajibishwa mtu?
Hii thread imenigusa sana, penye red "huenda Jeshi limejipanga kutoa taarifa ya vifo na majeruhi na serikali itasafirisha miili ya marehemu bure kwenda kuzika popote pale Tanzania"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.