Leo naamini maisha ya watu wengi yanapotea kwa kutofuata utaratibu ulio sahihi, tuache siasa kwenye ugonjwa muachie serikali itekeleze wajibu wake kwa kumpatia Mh Lissu matibabu sahihi
Umoja wa Ulaya ni washenzi wapo kwa ajili ya maslai yao mbona hawakutoa tamko juu ya dhahabu, almasi na tanzanite ilivyoibiwa ? Je kutokana na kukosekana huduma bora za afya ni watanzania wangapi wamekufa? Bilioni tulioibiwa zingeweza kuokoa maisha ya wengi waliokufa kwa kukosa huduma. Hao ni...
Duuh jamani kuna kijana anaitwa Nasibu Mdemu yeye alikuwa form two akichezea timu ya shule ya football namba 8 mwaka 1996/7 amefariki leo kipawa wanaoweza kwenda wawasiliane no. 0713211979 Rajabu. Huyo alikuwa anaishi hostel, tunaomba mtuwakilishe sisi tulio nje ya nchi.
ICC sio solution ya matatizo ya ndani ya nchi, leo Kenya walichinjana baadae wakina Uhuru walipelekwa ICC lkn leo wamerudi wanaendelea na kazi. Vp wale waliokufa au kuumia kutokana na machafuko hayo nini wamepata au familia zao wamepata nini? Tambua nchi iliamua kujiunga kwa hiyari hivyo hivyo...
Hivi hujui mmiliki wa CDM ni Mtei? Hujui kwanini alimsakama zito alipotaka kugombewa uenyekiti kwa kuhofia mkwe wake Mbowe aliyemuoa Dr Lilian Mtei asing'olewe? Hiki ni chama cha familia Hakuna ukombozi zaidi ya kuineemesha familia ya Mtei!
BREAK NEWS!!!!!!!!!!
Taarifa tulizopata toka katika kikao cha jana usiku zinasema kuwa wale wote walioahidi kumchangia katika campaign yake ndg Lowasa wameanzisha mgomo baridi wakitumia kumzungusha akiwemo Rostam Azizi na Nazir Karamagi.
Hata hivyo uchunguzi unaonyesha kuwa wengi wa wafadhiri...
Tatizo lako Msambila hutumii ajili ndani ya utumishi wa umma unaruhusiwa kuongeza mkataba iwapo muajili wako ataona umuhimu wako pia Lowasa hawezi katazwa kutembelea kokote iwapo msafara wake hautazidi watu 5 yeye anaenda na kundi kubwa hii inapelekea kazi kusimama, aidha, kutokana nafasi...
Mwanakijiji amewahi kuweka hoja kuwa kama lengo ni kutoa CCM tu bila kuwa na kujua nini mtafanya baada ya kuitoa alisema ni heri kuendelea kuwa CCM, leo hii imejidhirisha kuwa lengo la upinzani ni kuitoa CCM kwa njia zozote as if upinzani ni malaika au Mungu baada ya kuitoa CCM itashusha mana na...
Tumekuwa wavumilivu kwa muda mrefu Lowassa chama kimemsamehee mpenzi hatimaye anahamasisha uasi wa ajabu CCM kamwe hataahinda hii si mara ya kuanzia tunakumbuka 1995 mrema alipotusumbua hatimaye tukashinda, nami tangaza rasmi kupambana na huyu mtu hadi kitaeleweka!!!!
CCM ni chama cha ukombozi ambacho hakiwezi kusumbuka na saccos, inazijua siasa za nchi hii na pia wananchi wanakijua chama chao ndio maana wametulia wanajua siku ya kuwamaliza kwenye sanduku la kura.
Ukitaka kujua CCM imeanza kazi pale atakapotangazwa mteule wa nafasi ya uraisi ndio...
Kwa nini watanzania tunakuwa watumwa wa siasa? tunashindwa kuelewa concept ndogo kama hii tunaingiza siasa? nchi ilikuwa na reserve ya dollar mahitaji makubwa ya kitaifa yamekuja je tusinunue BVR machine, Mitambo ya umeme ya kwetu,Meli za kivita kulinda nchi yetu? lazima dollar zipuingue na hii...
Ukweli umedhihirika kuwa tume ilitengeneza matokeo ili kukidhi hoja ya serikali tatu ndio Maana hata rasimu imeandikwa kufuata serikali tatu . Hatuwezi kukubali uongo huu wa tume hata mtoto wa darasa la Sita hawezi kukubaliana na takwimu hizi .
Napendekeza Serikali ya Tanzania Bara itoe tamko la kuwaomba wapemba na waunguja warudi kwao kwanza kwa muda wa mwezi mmoja tu ili kujua idadi kamili kisha wapewe nafasi ya kupiga kura kuamua kujiunga na Tanzania Bara kama nchi moja au la? matokeo ya kura ndio yatayotumika kuamua kuhusu muungano.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.