MKUU kuku hatagi kwa kupandwa na jogoo...Kuku hutaga kulingana na lishe bora unayompa.Jogoo hutia mbegu tu ili kupata mayayi ambayo yanaweza kutotolewa au kutoa vifaranga. Mimi nakushauri wape lishe yenye mchanganiko sahihi wa lishe utaona .lishe ya kuku unaweza changanya Dagaa, mifupa, pumba za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.