alafu wapiga kura wa Kitwanga wanakuja na sababu eti video inayoonyesha Kitwanga amelewa emetengenezwa na studio za bunge,,, na kulitaka bunge limuombe msamaha mbunge wao,,, wangekuja na matamko ya suluhisho wanataka "bunge live" ili kuzuia kutengenezewa video za kuwazalilisha wabunge wengine.
kwani wafanyabiashara wanavyomchangia waliwaita waandishi wa habari na kumuuliza anyoshe kidole kama anahitaji msaada,,,? fikiri kwa kutumia akili yako siyo ya mwenzako.
Tatizo ni mfumo au tatizo ni serikali ya awamu ya nne?,,, na huyu Kitwanga ni jipu lilosababishwa na serikali ya awamu ya ngapi? kwa staili tutashindia kutumbua majipu hadi 2020
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.