habari zenu jamani wana jamii,mimi ni mwana jamii mchanga ..ila wito wangu ni kwa sisi sote kuhakikisha tuna ibua changamoto zitakazo pelekea mabadiliko chanya ktk jamii yetu.
Kweli wabongo wanataka chao...watu wameshachoka na usanii wa viongozi wa nchi wanao ifanya nchi kama mtaji wa matumbo yao,la kushangaza hata hawashtuki....
Tulijitokeza kama wananchi wa dom ambao tulialikwa kujitokeza kwa wingi kuhudhuria mdahalo wa kukusanya maoni...mambo yakusema wanfunz wamefanya fujo hizo ni propaganda tu..kuliku na na raia wa kawaida wanafunzi wa mipango,udom,st johns ambo wote kwa ujumla wao ni WANANCHI WA JAMHURI HURU YA...
Mchakato tunaotaka kuanza ni wa mabadiliko ya katiba ili kuunda mpya...hili linapaswa kufanyika kwa kui-asses katiba tuliyo nayo ss kipengele kimoja baada ya kingine ili km kunaonekana kuna mapungufu yarekebishwe...ss tutaiitaje katiba mpya wakati tayari kuna mambo yameshaanza kuundiwa mizengwe...
kuwafikia mbona yana wafikia sana tu..mambo yamebadilika hata wao wanajua kwamba maoni hayatolewi kwenye midahalo na mkongamano tu hata kupitia mitandao pia watu wanaweza kutoa maoni yao.
Kama tatizo ni uwezo wa ukumbi basi hakukua na sababu ya kutumia ukumbi wa msekwa ilhali inafahamika ni mdogo,kwani kulikua na tatizo gani kutumia ukumbi wa chimwaga...au ha ta uwanja wa jamhuri kwani hakukua na la siri lililokua linazungumzwa..ss iweje leo majadiliano hayo yawe kama kitchen...
Wametangaza wakazi wote wa dom kujitokeza kutoa maoni yao lkn kinacho endelea ni kwamba watu wamezuiwa kuingi..watu wapo toka saa 2.,ss tunashindwa kuelewa mbona kama kuna usiri ktlk suala hili kwanini kila mtu asipewe nafasi kutoa maoni yake..!?
Wengi wao wako bungeni kama mizigo tu, hawajielewi wala hawajitambui, wanjaza viti tu ili ionekane kuna watu lkn kiutendaji wengi wao bado na hata hao wanaojitahidi wengine sidhani km walipaswa kuwepo bungeni labda kwenye kuimba taarabu..mfano so*** Lion
Pamoja na yote yaliotokea uwanjani lakini samata ameunyesha kiwango kizuri..i can see a better future for him kama atatulia na kuelekeza akili yake kwenye soka..ila akiendekeza misifa badala ya kucheza mpira kama wenzake tunaowafahamu si bure hata baada ya miaka miwili tukamsahau ktk medani ya soka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.