Nadhani ile kosakosa ya kufungwa kwa tuhuma za rushwa ndio zimemfanya aanze kuwa hivyo na naona ikiwania sana cheo cha u propaganda ndani ya Chama! Ila akumbuke tu hizo ni tuhuma nzito zilizo ambatana na ushaidi mzito na hazijibiwi kwa andiko la Jerry Muro....!
Tatizo letu polisi wetu na wendesha mashtaka ( DPP) lao moja! Polisi ni nguvu na hawa wengine kukomoana tu! Wangekuwa kwanza wanahilizisha na evidence na exparte opinion wasingefika huku....!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamekuwa matapeli sana! Hata customer care wao ni hopeless sana na hapo bado kuwapata customer care ni shida! Mie nimepanga kuwashtaki TCRA
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Mgonjwa katumwa na Mh Raisi na atakaa kwa siku 14 huko alikoagizwa na mkuu kutibiwa! Sijui toka lini mgojwa akatumwa kwenda tibiwa na tena kwa siku ambazo zinajulikana!!? Tuendelee kusubili
Duuuh hii ni kukurupuka kwingine tena! Hii bar imesajiliwa rasmi na inalipa kodi na imeajili Watanzania wenzetu! Hao wanajiuza hawajapewa ruksa na mwenye bar! Mkuu wa Wilaya kama alitaka kuondoa biashara haramu pale ashirikishe viongozi wa Serikali za Mtaa na viongozi wa vyombo vingine vya dola...
Mie najiuliza nini essence ya huu uhakiki!!? Maana hata kama ni suala la deadline basi useme kuna deadline kwa sababu fulani! Kwenye Uchaguzi kuna deadline kujiandikisha maana kuna Uchaguzi mbele.
Huu utaratibu kwa kweli sio rafiki na sidhani kama hilo lango wanataka wanaweza fikia! Nadhani wangejaribu kubuni namna nzuri ya kumfanya pia mteja asiboreke! Taarifa za Mlipa kodi zingeweza fanywa kwa mfumo kama daftari wa wapiga kura na kusogeza huduma ofisi za Serikali za Mtaa!
Mkuu nadhani na wewe hujamwelewa vizuri mleta uzi! Mh Waziri Mkuu alisema akihamia yeye atashangaa kama kuna Waziri atabaki Dar! Lakini tujiulize swali moja tu je kimiundombinu Dodoma ipo tayari kwa kuipokea Serikali!!!? Dodoma hakuna Maji ya kutosha, leo ukiamisha Waziri Mkuu na hao Mawaziri ni...
Project nzuri sana na itakuza jiji haraka! Tatizo je kwa wakati huu wapo wa kuzijaza!!? Kama wageni wanaondoka na wafanya biashara wanafunga biashara haya si yanakuwa magofo!!?
Suala la kupanda kwa bei ya umeme ni suala la kitaalam na mie naamini mpaka Ewura wanapandisha bei lazima kuna vikao vingi sana vya wadau na watendaji! Ila ndo hivyo tena sidhani kama ni haki kumhukumu Mtendaji Mkuu wa Ewura kwenye hilo
Natafuta Secretary mwenye uzoefu na anaejua kuongea na kuandika Kiswahili na Kiingereza! Awe na umri chini ya miaka 30. Kwa ambaye yupo tayari atume email kwa info@enm.co.tz au fmasha@enm.co.tz.
Aksanteni.
Sasa mwashangaa leo kwa mtu mwenye LLB kuwa Hakimu mahakama ya mwanzo??? Na kiukweli nafasi hizo zinatamka ya kuwa waombaji watakuwa na cheo cha HAKIMU MKAZI DARAJA II ikimaanisha ya kuwa japo kazi zako ni za hakimu wa mahakama ya mwanzo ila unaweza fanya kazi za hakimu mkazi au hata wa wilaya...
Kaka hakuna kazi siku hizi kama wewe umesoma law anza kapisa kuwa mpiganaji na anza kuwaelimisha wananchi juu ya haki zao huo ndio utakuwa mwanzo wa wewe kujitangaza na kuanza fanya mambi makubwa zaidi!!!!
Ni ajabu kwa kijana wa kileo wa Kitanzania kusema Watanzania ni wavivu na waoga wa kufikiri!!! Vijana wa Kitanzania wa leo ni wachapakazi na wapo tayari kudhubutu kwa kila jambi tatizo lililopo ni la kimfumo wa kiserikali isyo wasapoti!!! Mfano kijana wa Mpanda alielima mahindi yake kwa jasho...
Sasa huyo Wenje alikuwa wapi siku zote kwenda Sengerema??? kaona Ngereja kaenda ndio nae kapata Nguvu???? Siasa zetu bhana kweli full komedi yaani watu ni Kuviziana badala ya kufanya mabo ya maendeleo!! kazi ipo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.