Kiitifaki mkubwa akishaongea mdogo harusiwi kuongea kitu.
Kwa tukio la leo alitakiwa akae kimya Mbowe angee akiwa ndio bosi wa chadema kitaifa. Kumbuka watoto wale sio wa Arusha tu wapo pia wanaotoka mikoa mingine.
RC hajakosea chochote Lema ni mtu wa kulalamika lakini kwa leo hayupo sahihi...
Ushauri wangu kwenu wakuu ni kwanguzeni kulalamika na kaulaumu tu bali toeni mawazo ambayo mhusika yanaweza kumbadilisha ili aendane na matakwa yenu.
Naogopa sana kuona kama jamii forum itakuwa ni uwanja wa kulalakia na kuchambua maisha ya watu.
Tunakosea sana, tena sana!
Tatizo humu ndani kuna watu wengine uzalendo hawana kabisa wao kila kitu ni nikupinga tu lakini hawaonyeshi njia ya nini kifanyike.
Matusi, kejeli na dharau kamwe haviwezi kujenga nchi hii, bali ni hoja nzuri na zenye mashiko ndizo zitakazoijenga nchi yetu.
Hebu badilikeni ninyi watu wenye...
Maalim anawadanganya wenzake na huku yeye anaendelea kula mafao.
Kimsingi yeye sasa hivi amegeuka kuwa burudani ya kuwaburudisha wana jf kwa maigizo ya matamko walio wajinga wanaendelea kuburudika.
Namshauri atafute namna nyingine na kujipanga kwa ajili ya uchaguzi wa 2020.
Kwasasa hawezi...
Wakala wa nishati vijini REA wamesema hawajawahi kupata pesa za shirika la MCC la Marekani lililokatisha msaada wa Trilioni moja kwa Tanzanihivyo haitowaathiri.
Fatma kasoma sheria na anaonekana ni mwanasheria tu tatizo lake kubwa ametekwa na wanasiasa na anatumika vibaya.
Namshangaa sana kwakweli kuona anawapotosha watu kwa maneno anayosema "kuwa Raisi wa Zanzibar kawekwa madarakani kwa vyombo vya dola". Hivi ana maananisha nini? Hapo anapotosha watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.