Pitia Nacte.. Km ulilipia mara ya kwanza usilipe tena, unaendelea ulipoachia palepale.
Hata km utapitia TCU ingia kwenye registered candidates weka username iliokuwa unatumia NACTE na password km unakumbuka itafunguka na utafanya application zako
Kama ulishaapply mara ya kwanza kupitia nacte... Kaendelee kulekule sabb hata ukiingilia TCU kwenye registered candidates wanakupeleka NACTE CAS.... Guide book waliyoitoa TCU inajieleza vizuri tu...
Pitia NACTE kufanya application zako
Kuna
AGRICULTURE ENG..., IRRIGATION AND RESOURCES ENG...
WATER RESOURCES AND IRRIGATION ENG.
Mambo ya AGRIBUSINESS AND ECONOMICS
kozi zenye mashiko kabisa na ukimaliza tu NG'Os kibao wanakuhitaji..., wadhamini tele wanasubiri tu ujue kuandika proposal iliyosimama kwa project inayoeleweka watu...
Usifuate mkumbo kuwa wenzako wanataka kusoma nin... Basi na wew unataka kusoma hiyo hiyo... Nchi yetu ni changa bado kimaendeleo, angalia nchi ipo katika wakati gani na vipaumbele vyake ni nin kwanza.
Halaf chagua koz ambayo ni inaenda kuamua uelekeo na mustabali wa elimu yako katika swala zima...
Waliopita hapo hiyo coz wanaiita LUP usiijaribu kuisoma.... Km unategemea ajira zitoke uombe utasugua sana bench...hautaona ajira na ukitaka kujiendeleza ardhi university watakukataa, itabidi tu ubadili ukapige mambo mengine..
Hatimaye sasa ubora wa elimu na ufaulu umeanza kuzingatiwa katika kusomea vyuo vikuu nchini.
Masomo ya science yalipoteza heshima yake kabisa, mikopo iligawanywa kiholela holela tu.
Sasa wimbi la walimu wa science litaanza kuongezeka kwa kasi, kwa maana hao tu ndo watapata mikopo kwa asilimia...
Heshima itapatikana ty mjini.
Na kwenda chuo kikuu itakuwa sio jambo la kirahisi kihivyo... Ukipata marks husika lazima ukashukuru mungu na ufanye sherehe kabisa
Hahaahah hatar sana
Weka picha kwenye computer yako...... Then right click, nenda kwenye option ya edit.
Ingia hapo picha yako italoadiwa then tafuta sehem imeandika resize.
Km kuna sehem imeandika percentage na nyingine pixels, click kwenye pixels halaf type 150 kwa 120 weka ok then save kwa jina unalotaka...
Huwezi anza upya sbb utakuwa ni km umelog out tu. Ila hiyo ni baada ya kupata username yako na password..
One step at a time.
Jaza kwanza maswala ya kuprint na kutuma ni baadae sana.
Jaza softcopy-print-jaza hardcopy kwa pen nyeusi tu- tafuta sahihi na mihuri yote inayohitajika-kacertify...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.