Je hii inaeza kuwa ndio tafiri sahihi ya katiba?
(wabunge) wengi = simple majority
(wabunge) wengi Zaidi = absolute majority
What would be the implication now 2@ Kiranga/ Pasco
Kama kuna kosa kubwa na la kiufundi CDM wanaweza kufanya ni kumfukuza Shibuda. Huwezi kuwa na wanachama wote wenye mawazo sawa kwenye chama chochote kile cha siasa duniani. Hata USA Republicans yupo Senetor wa Maine Susan Collins na mwenzake Olympia Snowe wanajulikana kama the most liberals in...
Naombeni kufahamishwa: Hivi kuna umuhimu kweli wa hii ofisi? Mi nadhani hawa investigators (TAKUKURU etc.) should go on prosecuting by themselves. Otherwise mi naamini kabisa DPP yupo pale kisiasa zaidi.
Philemon, ukweli ni kwamba Chami anahusika na huu ufisadi au basi ni mzembe. Mbona Magufuli alimuondoa Mrema pale Tanroad na hakukuwa na lawama? Chami alishindwa nini kuwa wa kwanza kutoa taarifa kwa CAG na kwenye baraza la mawaziri kama alikuwa anaogopa kukiuka taratibu za kumfukuza Ekelege...
Analalamika hakupewa taarifa na CAG, ina maana yeye hajui nini kinachoendelea hapo wizarani? Nani alitakiwa kuwa na taarifa kwanza, yeye au CAG. Yaani uchafu ufanyike wizarani kwako halafu unalalamika hukupewa taarifa? Sasa wizara inaongozwa na nani? Tangu mwenyekiti mpya wa bodi ateuliwe na...
Mwanakijiji inawezekana story unayoitumia kum-quote Balozi imeandikwa na "kanjanja". Amejikalia ofisini tu na kuweka maneno yake kwenye story nzima. Hata uandishi wenyewe si umeuona? Ni wa ajabu kweli.
Inasikitisha kwa kuwa ndio media house zetu zilivyo. Kwa hiyo kwa maoni yangu matundu mengi...
Hi hawa jamaa (Kina Kusaga) hawawezi kumgundua Afro kutokana na hizi threads zake kweli?. Ikiwa ni hivyo, wasiwasi wangu ni kwamba watamla nyama akiwa hai!
Hivi ni nani haswa tunayetaka achukue nafasi ya Kikwete? Nakubali kabisa Kikwete ana upungufu wake mkubwa tu. Lakini siko tayari kuona nchi inarudi enzi zile za kina Mkapa! Au hata za Mwinyi!
Kama kuna kitu kinachonivutia mimi ni jinsi Tanzania inavyokuwa kidemokrasia. Kwa mara ya kwanza sasa...
Mwandishi wa habari hiyo anaweza kuwa bingwa wa udaku hapo Tz, yaani kaandika muda wa watu wote walivyotoka hapo Ukumbini! Hadi muda wa ukumbi kusafisha na kuondolewa viti kaandika!
Tena ana macho makubwa sana kiasi cha kuona maandishi madogo ya Hitachi
Halafu akashindwa kusema ilikuwa...
Tatizo la Feleshi amejipachika madaraka ya uhakimu na kutoa hukumu kabla kesi hazijaingia mahakamani. Feleshi ni kikwazo. Na kwa jinsi alivyojipachika madaraka sioni sababu yoyote ya kuwa na mahakama kwani ofisi ya DPP ndio yenye kuhukumu.
Hata hivyo ukweli unajulikana. Anatafuta kila sababu...
Ubinafsishaji nimzuri sana kama ukiondoa corruption! Ben aliingiza rushwa kwenye kila jambo hata lililo jema alilokuwa anafanya. Matokeo yake hata yeye mwenyewe anaona noma.
Nilikuwa nasoma habari ya Liberia kwamba wanafanya majadiliano na makampuni yaliyoingia mikataba ya kifisadi wakati wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.