Search results

  1. kizzawarlesy

    Nitapataje tray ya line ya motorola X?

    Ni salama wadau?,,mwenye kuifahamu hiyo simu inaitwa motorola "X" (moto x), nahitaji trei ya laini yaani kichuma kinachobeba laini mwenye kuwa nacho anichek inbox tuyajenge nina shida nacho saana yani naombeni msaada waungwana.
  2. kizzawarlesy

    Naitaji watu/ofisi ya kufanya kazi za software za simu

    Habari wakuu, poleni na majukumu, mimi ni fundi simu nafanya hardware na software hivyo nahitaji watu au ofisi ya ku-share tufanye kazi, napatikana Dar.
Back
Top Bottom