Ni salama wadau?,,mwenye kuifahamu hiyo simu inaitwa motorola "X" (moto x), nahitaji trei ya laini yaani kichuma kinachobeba laini mwenye kuwa nacho anichek inbox tuyajenge nina shida nacho saana yani naombeni msaada waungwana.
Habari wakuu, poleni na majukumu, mimi ni fundi simu nafanya hardware na software hivyo nahitaji watu au ofisi ya ku-share tufanye kazi, napatikana Dar.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.