Ndugu unaposema wanaoishi na HIV ni kwa ajili ya viherere vyao completely you are wrong and it an illiteracy quotation from u'r former leader,Je waliozaliwa wakiwa na maambukizi?Je waliopata maambukizi kwa ajili ya ajali?Usitukane mamba hujavuka mto na ukumbuke kwamba kila kiumbe chenye uhai...
Siasa ndo maisha tunayoyaishi kaka kila unapolala maisha yako yote yanaongozwa na siasa.Sasa nitashangaa wewe unapostaajabu kwanini hawa wanafalsa wanajiingiza kwenye masuala ya siasa,kwani wao wanaishi ktk sayari ipi?Navyojua mimi siasa safi na makini na kiongozi madhubuti ndiyo chanzo cha...
Mbona kama movie vile?Hawa jamaa wakifika Bukoba wataua watu wengi sana.Sababu mhaya kutembea na mamilioni ya hela mkononi huzania ni sifa kumbe ni ku risk maisha yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.