Hivi wanaume nyie mnajifikiria nn hasa? Kazi yenu ni ipi basi? MAZA FA U CAN GO TO HELL OR ASK IF U DARE ASK UR MOMTO DO THAT. KWELI SOME PEOPLE R IDIOTS. TUNAWASAMEHE BURE TU
We mjinga kweli umeebda bila kuaga unafikiti ye malaika ajue? Hukujus roho yske ilikuwa inskuwaza tu na wasi2 muda wote? Hicho kibao ndio zawadi uliyomletea ya au ni ua la kuomba samahani ya kusafiri ghaflabila taarifa? Ingawaje ht yeye hakuw sahihi kufanya vile. Angetoka tu kukupokea nk. Hebu...
At last mh. Rais ameona kazi yako nzuri na jitihada zako za kupigania elimu hadi akakuweka kwenye usimamizi wa wizara hii myeti. Unapigania kulitoa taifa hili toka moja ya matatizo sugu 3 ambayo baba wa taifa aliyaainisha toka kitambo. Bila elimu kweli tutazidi kuwa watumwa wa wenye elimu na hii...
Mimi ni ke nachukia wanaume legelege hivi jmn lol. Huyo mkeo hajielewi. Moja toa amri na sio ombi. Binti aondoke hrk iwezekanavyo toa ultimatum. Pili yeye ahaahakikieza iko tayari na maji moto bafuni tayari watoto kila kitu ready. Vinginevyo aamue ndoa au kwao. Wamama tunaharibu nyumba zetu jmn...
Wadau naomba msaada kwa anayejua jinsi ya kurudisha OS y iPhone yangu imekufa.
Toka juzi najaribu ikifika karibu kumaliza inakufa tena. Inarestore almost 90% kisha inakwamia hapo.
Tafadhali naomba mwenye maujuzi anitoe kwenye dhahama hii maana narudi kwenye ujima.
Thanking u in advance.
Huu nauita upuuzi tu. TCRA hawajielewi. Mtakumbuka tuliwahi pigishwa foleni kusajili line? Nini kilifuata? Uongo mtupu. Sasa wanaondoa simu fake eti tuma IMEI halafu hawatoi ufafanuzi eti kamahaioani
Kuoana kivipi mboma hawaelezi? Yaani hii nchi ni kama ya zombies maana hayo ndio hufanya vitu...
Jamani jinamizi likikuandama halikuachi mpaka utubu dhambi ya awali. ESCROW alinasa akanasuliwa je hili mafuta atatokea wapi? Nani atamsafish? Kma sio eneo lake la kazi ilikuwaje atoe agizo la kufunguliwa pump? Hii nchi ( njii hii) kweli ni mazingaombwe.
Inanikumbusha habari ya jamaa mmoja...
Huyu ndiye ndie niliyemuona. Huyo mwingine wa kwsko macho yangu yalimuons huyu. Sio lazima nikimsifia nae anisifie kwa njia hii hii pengine ana njia yake nyingine ya kunijaza sifa. Ttz lako unataka ushindani kati ya ke na me, haviendi hivyo aisee. Usione wivu hujasifiwa ni kwa sababu hujawahi...
Nikuache tu namawazo yako ya zamani. Brainwashed huwezi kuamini vinginrvyi maana umeaminishwa hivyo na ndiyo unayotenda. Na aisifuye mvua....... Kwa hiyosikushangai bro. Usimtende mkeo hivyo mpe raha bana. Issue closed!!!
Wewe na nani? Life haina formula kw hiyo yaliyokupata ndoani sio lazima yanipate mie. Una mawazo kinzani kwamba kila mwanandoa mme ana chepuko Sio wote huo ni mtazamo wako tu. Usihofu yakinikuta sitakutafuta bali nitaleta mrejesho humu2 na ikizidi kuchanua nitakualika ujr kujifunza mbinu walau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.