Mkuu nina hakika kabisa,aidha hii Sheria haikugusi au huna jamaa wa karibu waliotswa nayo.
Lakini it's illogical kabisa na haijaangalia maisha ya hao wastaafu na ndio maana wao wamejifanyia exemption.
Mimi nimefanya kazi private katika majukumu yangu yote sehemu mbali mbali na makato ni...
Sasa mkuu tofauti ni ipi, nimekwambia Mimi nakatwa kumi na mwajiri asilimia kumi na ndio hicho kilichohoandikwa hapo juu. Hakuna mwajiri yeyote atakaekubali kwenda na option ya pili kwamba achangie yeye zote! Sheria hiyo ingekua ina manufaa hivyo, kwanini wao waliopitisha wamejifanyia exclusion?
Hilo ndio la msingi mifuko imefikisika wanaleta story za kipuuzi. Mtu akila pesa zake zinakuhusu nini? Yyte anaetetea Sheria hiyo yeye hamhusu au ndugu zake. Ni kawaida ya binadamu kuwa na ubnafsi
Hiyo ni private gani? Mimi nachangia asilimia kumi na mwajiri wangu asilimia kumi na inakatwa straight. Kimsingi hii Sheria ni ya kipumbavu unless kama hazikuhusu!
Songa mbele mkuu, kwanini MTU akufanye chaguo la pili baada ya mambo yake kufeli huko? Huyo anatafuta mtu wa kumlelea mtoto wake. Pisi kibao kitaa!
Piga chini, mwambie hata wewe unampenda ila kwa sasa una mtu. Usionee huruma mwanamke.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.