Kama wamekiuka maadili inabidi wawajibishwe tusiwe na double standards. (Ubashite) Tanzania ya leo kila kitu kinakiuka utaratibu sijui tunaelekea wapi.
Hapo kwenye elimu nakuunga mkono wazazi wanawalea watoto kama wakubwa wenzao yani balaa tupu sijui kwa nini. Waalimu watalaumiwa bure. Madogo wanataarifa zote za burudani na movie kichwani ila sio masomo. Ufaulu unaanza nyumbani kwa kumlea mtoto awe msikivu.
Binadamu Lipi Jema? Ingekuwa hizo ndege mh rais anazinunua zikae tu ngeona umeongea la maana ila zitatumika kuongeza uchumi wa taifa. Mfano watalii wakiongezeka ina maana ajira zitaongezeka na mapato ya fedha za kigeni yataongezeka. Nchi inayotakiwa kuwa ya kwanza kwa utalii afrika ila bado...
na wewe ipo siku utatuelewa hajengi mtu kiwanda gharama za nishati tanzania ni kikwazo. Kunawakati kikwete alienda korea kusini akawaambia waje kuwekeza kikwazo kilikuwa nini? Tatizo watanzania huwa tunatoa maamuzi bila kujua kwingine duniani nini kinaendelea. Tunasafirisha vitu vichache nje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.