Amani iwe kwenu wana JF,
Leo nimeona nizungumzie katafiti uchwara kadogo nilikokafanya juu ya usafi binafsi hasa wa wanaume. Wanaume wengi wakitoka kujisadia haja ndogo huwa hawanawi mikono. Kwa maneno mengine ukipeana mkono na mwanaume kuna uwezekano umeligusa dude lake kidigitali. Hali hii...
Wana JF,
Ninakerwa na tabia ya wanaume wenzangu ambao wamekuwa na tabia ya kuwashobokea wanawake wenye magari. Hivi wewe mwanaume hujiulizi huyo mwanamke kapataje hilo ndinga?
Utakuta mwanamke kapaki ndinga lake yuko alone anajipatia ki wine chake midume inaanza mashobo. Ukiombwa hela ya...
habari wana jukwaa
Wakati tukiuanza mwaka mpya si vibaya tukijikumbusha nyuzi na mada zilizokuwa hot mwaka uliopita. kwa maoni yangu nilitegemea Mods atuletee mchanganuo bora zaidi.
Kwa upande wangu nyuzi au mada hot zilikuwa kama ifuatavyo
1. Forex
2. Vibamia
3. Inteview za Daby
4. Mauaji ya...
Nimetoka Kwenye darasa la ujasiriamali. Mwalimu kasema ili ufanikiwe you have to think out of the box.
Wana JF nimenthink out of the box nakuja na idea munisaidie kupata fursa ya kutoka kimaisha. Hivi jumla ya uzito wote wa chupi zinazovaliwa hapa Dar mchana ni kiasi gani? Na usiku je? Hamna...
Wale wenzangu tuanaoenda maeneo ya kujirusha hebu tujikumbushe basics za unywaji salama. Mimi nazijua zifuatazo (ingawa mara zingi zizifuati)
1. Epuka kukaa baa ambazo ni hatarishi ; hakikisha unakaa baa ambayo ni rahisi kwako kurudi nyumbani
2. Nidhamu ya kiwango cha kilevi ni...
Wana JF
Kuna katabia nakaona sana siku hizi hasa kwa akina dada na baadhi ya vijana kupenda kuchanganya kiswahili na kiingereza katika mazungumzo ya kawaida tu. Neno kubwa linalotumika ni “Amazing”
Sentesi mbili tu ya tatu utasikia “amazing” flani hivi.. Kwa tunaojua lugha kidogo inaboa...
Wana Jf juzi nilisahau cm yangu yenye namba ya cm ya mama yangu na nilipotaka kuwasiliana na mama yangu kwa mshangao mkubwa sikuikumbuka kabisa. Namba nilizokumbuka kichwani ni moja ya mchepuko ya pili ni ex g wangu na ya tatu ni ya kazini.
Kwa dhati ya moyo wako namba za akina nani umezikariri?
Ni kawaida katika maisha kupima mafanikio ya mambo unayoyafanya ukiwa hai duniani. Mara nyingi watu wengi hujipima kwa mambo ambayo ni ya kawaida kama vile wamejenga nyumba ngapi, wamezalisha faida ya shilingi ngapi, wamepata magari/usafiri mangapi, wamevuna kiasi gani.
hebu leo tujiulize...
Wakuu naomba msaada wenu.
Mara nyingi roho inaniuma sana ninapoona mchepuko unafika juu ya mlima Kilimanjaro tena kwa mbwembwe na madaha sana. Kuna wengine hufika huko zaidi ya mara moja.
Kinachokera zaidi wengi wao wakishafika huko hawataki tena shughuli ya kupanda mlima. Na wakipanda hupanda...
Hodi jamvini
Naomba ushauri wenu juu ya yatokanayo na mapenzi katika jamii yetu.
Juzi nilikuwa na wakati mgumu baada ya rafiki yangu wa karibu kuniletea nakala ya usia wa ?mali zake?. Yeye ni rafiki yangu wa karibu tumesoma wote sekondari na hata jeshini tulikuwa intake moja ?operesheni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.