Act wazalendo kinacho ongozwa na MH.Zitto kabwe ni chama kisicho kuwa na Msimo hasa kwa kiongozi wake Mkuu Zitto Kabwe ambae maranyingi amekua akikaririwa na Kuonekana Nimtu wakubadilika badilika Hasa kwa Issue kama ya Urais Zanzibar
Nirahisi sana kwa Act kufanya Maandamano ya kumpongeza...
Hii tumbua tumbua majipu ya magufuli naona imeanza kuwachanga viongozi wa kuu wa ccm akiwemo katibu mkuu wa ccm ndg. Abdulrahaman kinana. Nakijifanya kuwa anampongeza magufuli kwa utendajikazi wake ilikujaribu kukwepa rungu la magufuli lisi mfikie maana ndg: Kinana ana lijipu ambalo linahitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.