Laptop aina ya HP inauzwa ipo kwenye hali nzuri haina tatizo lolote lile. Specs
HDD: 1TB
PROC: Corei3
RAM:4GB
Bei: 800,000/=
Maongezi yapo.
Ipo Dar Msasani. Kwa anaehitaji anicheki whatsaap kwa namba 0628955929.
Habari za muda huu wakuu, naomba kuwasilisha hapa jukwaani kwani na imani wahusika wapo hapa.
Nimekuwa nikuhudhuria Mloganzila ni mwezi sasa kwani yupo jamaa yangu alipata ajali maeneo ya Temeke hivyo baada ya kupelekwa Temeke hospital ikabidi apewe transfer kuja Mloganzila.
Sasa baada ya...
Habari za Jioni familia ya JF natumai nyote ni wazima wa afya, poleni na majukumu mbalimbali ya kufanya maisha yasonge.
Nisiwachoshe kama kichwa cha kinavyojieleza naomba kujua A,B,C za wa japan katika kufanya nao kazi je wapo sawa na wa china au wa vietnam, nitangulize shukrani zangu za dhati...
Lipo kwenye hali nzuri, linatumia diesel na ni Kva 38. Lipo maeneo ya ununio bei ni 14m maongezi pia yapo kwa yeyote anaehitaji anicheki pm.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu natumai nyote muwazima naombeni msaada mimi ni mkulima ninaemiliki shamba mkoani Tanga wilaya ya kilindi kijiji cha masagusa, nimekuwa nikisumbuliwa mara kwa mara na wafugaji jamii ya wamaasai na malalmiko yangu nilijaribu kuyapeleka kwenye ofisi ya kijiji lakini hadi sasa ninapoandika uzi...
Habari za jioni wataalamu, kama kichwa cha mada kielezavyo mke wangu kajifungua ana miezi mitatu sasa ziwa lake moja upande wa kulia linamuuma mno, kabla ya kujifungua palikuwa na ka uvimbe tuliende hospitali tukaambiwa akijifungua na kuanza nyonyesha kitaondoka ila tangu kujifungua bado kipo na...
Habari za muda huu wana ndugu, kama kichwa kinavyojieleza nina mtoto wa mwezi moja na wiki kama tatu sasa kitovu chake kimejaa hewa yaani ukikibonyeza unasikia sauti kabisa kwamba ndani kuna hewa ni kama kitu ambacho ukitoboa kwa sindano hewa inatoka, naonba msaada wa jinsi ya kumsaidia kuna mtu...
Aje aje hapq
kwa wale wapenzi wa series kali za ma drug lords na kali zaidi ya hizo lets share.
1. Narcos Pablo Escobar
2. El shapo
3.Queen of the south
4. Power
5. Scarface
6. City of Lords
7. Blow
8. The counselor
9. Traffic
10. America gangster
Tupieni nyingine
Jamani habari ya kwenu natumai ni wazima, dah nimekuwa nikisikiliza nyimbo za huyu dada Saida Karoli nikashikwa na hamu ya kujua alipo na je ameacha mziki? naona kama bado taifa tunahitaji wasanii kama yeye. MUNGU ambariki popote alipo. Tujikumbushe na moja ya tungo zake.
Habari za muda huu wandugu poleni na majukumu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba kujuzwa kuna tofauti gani kati ya posa na mahari na kipi huwa kinaanza na kipi huwa ni kinapewa uzito. Nawasilisha
Hello wa ndg natuamai nyote wazima. Naomba msaada kwa yeyote aliyewahi kukutana na tatizo hili kwanye cisco router 2911 anipe msaada. An uncorrectable parity error has occured in the tdm switch component at location 0x13b88
Habari ya muda huu wadau, kama kichwa kinavyojieleza naomba kujuzwa hivi biashara za online gambling leseni yake huchukua muda kiasi gani, maana upande wa bodi ya gambling wameshatoa leseni muda mrefu tatizo lipo tcra, sasa nilikuwa nahitaji kujua kama kuna mtu anayejua muda wa hizi licesence za...
Nimejikuta nikijiuliza hili swali pasi jibu kamili hivi ni kweli Tanzania ipo amani au utulivu, maana kuna baadhi ya vitu vinavyotokea vinavyoashiria kutokuwa na amani mfano wafugaji kuwavamia wakulima na kuwajeruhi pamoja na kuharibu mazao, wachimbaji wadogo kupigwa mabomu ya machozi pamoja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.