Ni kutumia akili duniani hapa
Kwani-
Kwa ground mambo ni tofauti sana like simba na yanga zinavyo jadiliwa kuliko mijadala ya kimaendeleo ya nchi
Fikiri toka c_19 mara 🇷🇺 vs 🇺🇦 tension kushuka tu Oct-7
Kila siku na sasa ni miezi karibu 6 media zinatangaza 🇮🇱 imewaua 🇵🇸 20-30 na hakuna kitu...
Linauwa watu kuna ndugu yako aliwahi kumuuwa..?!
Watu waliotekwa aliwahifadhi wapi ndugu NAZI
Lina piga watu risasi kwa kutumia silaha aina gani muda huo ukiwa wapi anafanya tukio hilo..?!
Huo uporaji wa fedha aliufanya kwenye nyumba ya nani...?
Wataalam habari
Ninachangamoto ya kusumbuliwa na tatizo la kusmoke mara kwa mara kwa bajaji yangu aina ya tvs
Oil kila baada ya wiki mbili
block na Piston ni OG na nimefunga wiki mbili nyuma
Valve hazina carbon
wataalam kinachoua ring mara kwa mara ni nini??
Kazi ngumu sio nguvu tu bali kwa asilimia kubwa ni uzoefu
So hayo madude unayotaka kutumia yatakufanya uwe weak sana tumia vitu vya asili sana EWE BLUU!!
Pia tambua kuwa moja ya jukumu la JWTZ ni kuilinda katiba
Sasa kama wanatokea wazanzibar wawili wanauza mali za watanganyika tena wanasonga mbele hadi kutangaza wana vipande vya aridhi kwa wazawa
Wao wanaona baridi barafu na ukizingatia raia hawana maarifa ya uraia nani tumlaumu...
Kazingua mdau hata kama kweli ni fala
Kwa bei yake ni mmachinga wa kuuza viurembo vya kina dada na vitoi vya watoto na vile inaweza kisionekane nini anafanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.