Hawa waganga wa kienyeji wanakwenda na wakati walizoea kubandika matangazo yao barabarani sasa wamekuja na hii style ya TV ili kuwashawishi watu kwa ukalibu zaidi mie nazani wako kibiashara zaidi.
Nampongeza sana rais wa Arusha kamanda Lema kwa ushindi wa kimbunga,sasa mnakwenda kuongoza halmashauri muongoze kwa kasi ya maendeleo yanayotakiwa.Viva Lema viva Arusha
CDM 67250
CCM 34849
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.