If what you are saying is true, then what perpetrators of NWO benefit from this. As read from you, you've hinted out previously that their actions will demolish the very existence of man kind in this globe.
@Mathanzua is obsessed with conspiracy theories. In the midst of Covid -19, Corona vaccines, Ukraine war, Gaza conflict and now Iran/Israel conflict he's still spouting of New world order
Siyo hivyo mkuu, hii ni kwa sababu anatumia muda mrefu kuifasiri na kuiongezea vionjo, ili ifiti kwenye muktadha wetu na nyingine ni delay technique, ili kujipatia maokoto kwa yeyote asiye na subira. Sisi wengine tulishaisoma kule alikoichota na kuileta humu JF. Ila nampongeza kwa uwezo wake wa...
Shida siyo biblia, shida ni hawa wakristo uchwara wasiojua maandiko hususani walokole ambao huamini kwamba Israel ni taifa la Mungu kwahiyo kila itendalo wao ni kuitikia tu Amina na kuitakia baraka.
Hawajui mpango wa Mungu wa ukombozi kwa ulimwengu na jinsi ilivyotabiriwa kwa wayahudi kumkataa...
Utasubiri sana Shunie keshamwambia hata mwezi huu ukiisha kwa pini aliloshusha, hana lawama. Kwahiyo Mimi Bhikalamba nakushauri ukae kwa kutulia au mfuate kwa password huko kwenye whatsoever
Kwahiyo we ngosha unabisha kuwa hakuna michongo kupaa kwa ungo na ulozi hufanyika huko Gamboshi, au kwakuwa umekaa US kwa muda umejisahaulisha hii mambo ambayo ni common huko udukumani?
Vitabu vyote vya dini vinatambua uwepo wa uchawi we ni nani ukatae hakuna uchawi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.