WEZESHA MAWASILIANO NA WATEJA WAKO kwa kutumia “Business Card” za kisasa, ZOTE LAMINATED, kwa bei ndogo karibu na bure. “Design” utakayohitaji. Kwa Dar es salaam FREE DELIVERY.
Kila kadi 100:-
Single sided kwa Tshs 20,000/= tu, bei ya zamani 30,000/=.
Double sided kwa Tshs 30,000/= tu, bei...
Hiyo inaonyesha idadi ya data kwenye njia inayosafirishwa kutoka sehemu moja hadi nyingine kwenye mashine. Namba kubwa ndo data nyingi zaidi kwa wakati mmoja. Hufananishwa na barabara inayopitisha magari mawili kwenda upande mmoja, tungeiita 2 bit road.
Wasomi wengi wakubwa wanaoifahamu wikipedia hawaitumii kwa sababu haiaminiki, kila mtu anaweza edit akaongeza habari, nakushauri mtoa mada hata wewe usiiamini sana kuitumia kutoa mada.
Habari zenu,
Nimetoa hiyo mada baada ya kuona mara nyingi jamaa anakuwa na mke mzuri, anasifiwa mtaani lakini akirudi nyumbani hakukaliki. Wakati huo huo jamaa mwingine anakuwa na mke wa kawaida tu lakini nyumbani ana amani sana wanafurahia maisha. Kipi bora kusifiwa mtaani au kuishi maisha...
IST ni ya wanawake kabisa. Wanaume wanakataa tu kwa sababu wamenunua tayari. Waachieni wenyewe wanahangaika usafiri, nyie mmeng'ang'ania gari zao msibishe.
Habari wataalam, Naomba mwenye uelewa wa haya magari TOYOTA CELICA (Hasa ya kuanzia mwaka 2000) anipe uzoefu, inaonekana ni mazuri ila sijui spea zinapatikana au la, bei za spea juu au kawaida, tatizo la ujumla, na mengine mengi.
Nimeuliza hivi kwa vile nimeanza kuona yanaongezeka hapa Dar si...
Wadau naomba kuuliza, TRA hutoa bei elekezi kwa ajili ya kodi, lakini unaweza nunua gari kwa bei ndogo kuliko hiyo elekezi ukiagiza nje ya nchi, je TRA wanaweza tumia document ulizonunulia kukokotoa kodi?
Natanguliza shukrani.
TOYOTA CELICA (GH ZZT 230/231).
Habari wataalam, Naomba mwenye uelewa wa haya magari anipe uzoefu, inaonekana ni mazuri ila sijui spea zinapatikana au la, bei za spea juu au kawaida, tatizo la ujumla, na mengine mengi.
Natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.