Kama jiti ndo lishaingia Paskal wenzetu India na nchi nyengine wamevikataa vipimo ata kuingia nchini mwao kabla ya Magufuli sasa sijui nani aloiamsha dunia walokataa vipimo au sisi tulionunua baadae ndo tukaona vina walakini
Nchi Kavu,
Usiaminishe watu uongo Zanzibar kuna Makanisa mengi sana yamejengwa ambayo hayaendani na waumini waliopo. nahili limepelekea kuwa na zamu za kusali makanisa hayo kwavile yanavyokosa waumini.
wiki hii wanasali kanisa lile wiki ijayo wanaenda sehemu nyengine
Uungwana kwanza wangelimjibu barua ,hata kama sivo anavyotaka yeye Lissu, akishapata jawabu tena ataamua mwenyewe. Nafkiri Paskali unajua utaratibu wa Kuandikiwa barua hasa ya maombi.
Anaweza kuamua kurudi likitokea la kutokea hao Polisi watasema sisi hatukumjibu barua kafuata nini ilikua...
Huu wimbo upo tokea 64 baada mapinduzi tu.
Unasema hivi:-
MUNGU ametubarikia
Unguja na Pemba yote
Sote tunashangiria
Jamhuri kutuletea
MUNGU ametubarikia
Unguja na Pemba yoteee.
lakini kama hujui kuuimba unaweza usiuelewe.
TANU ilikua inaongozwa na waislamu, na ASP ilikua hivyohivyo ilipo anzishwa CCM Iliuwa mifumo yote ya harakati za vyama viwili hivi, hayo ndo Mapinduzi yaliofanyika kupindua Uislamu na CCM Kuwekwa chini ya CATHOLIC CHURCH MOVEMENT ambayo ndio CCM
Kwa mujibu wa Kamanda mabomu hawakupigwa waandamanaji mabomu wamejipiga wenyewe polisi ,ndo maana waandamanaji wakaendelea na safari yao ,polisi bado wanakesi ya kujibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.