Tumeshachoshwa na haya mahuaji ya ndugu zetu, kaka zetu na hata marafiki zetu wa chadema
kinacho endelea hapa tanzania ni kitu ambacho hatukukizoea bali tulisikia kwa majirani zetu
kila kukicha viongozi wa chadema wanauliwa kama kuku mmoja baada ya mwingine usiku wa
leo wametupotezea kamanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.