Unazani nani atakaeleta madawati na maabala ktk shule za serekali!!? Wakati wanaotakiwa kuzipigania watt wao wanasoma plt, tuamke tukiboresha shule zetu za serekali zitakua bora kuliko plt. Amka mtanzania anaetetea plt ni mafisadi.
Amefuaata maagizo ya magufuli, yakua yako tayari kubaki na wanachama watano waliokua safi kuliko kua na wanachama wengi ambao ni wanafiki na wanategemea chama kuwalee na bado kwa kasi hii ya jamaa wengi wataondoka maana masilahi yao hayako tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.