Mbona hakuna jipya hata moja hapa ? Watajirudia rudia Hivi Mpaka lini Jamani Hawa wenzetu?
Mbona hawatoi tamko la mgawanyo wa ruzuku Kwa UKAWA ?
Mbona hawasemi Ni lini watapeleka report ya matumizi ya uchaguzi mkuu..??
Natumaini pia watatolea tamko haya
1. Ni lini watawasilisha Gharama za uchaguzi Kwa msajili wa vyama.
2. Utaratibu wa mgawanyo wa ruzuku ndani ya UKAWA
Hii Ni mijimu maana inahusu fedha Za walipa kodi wa nchi Hii .
Kwa siku nne walikuwa busy wana "Edit" hotuba Za Rais Magufuli Na Mh Majaliwa pamoja na matukio mbalimbali ya CCM ili wapate cha kuongelea angalau wasikike. Hawana Tena sera zao na kukaa kimya kwao Ni dhambi kubwa.
This is the most ridiculous post I have seen in this forum....! Uamuzi wa tangu 1973 ambao unaenda kakamilishwa sasa unahusishwa na UKAWA iliyozaliwa Mwaka Jana Tena kutokana na hofu ya kushindwa uchaguzi mkuu ...??? Kweli mmevurugwa na sasa hata vitu vya kusema hamvifikirii Tena...... Shame on...
Waliochangia wako huko Chadema, unawajua maana wameshika nyadhifa mbalimbali serikalini ikiwemo ugavana wa bank kuu hadi mawaziri wakuu Kwa miaka 12 mfululizo...!
Huyu failure mkubwa amesimamia Serikali Kwa muda mrefu kuliko mwaziri mkuu yeyote....!!! Leo anawaambia watu hakufanya kitu...! Then anasema wakae chonjo...... Nonsense....,
Wewe kereka tu wala haidhuru kitu lakini Ndiyo ukweli na ukweli unauma ... Labda Ndiyo unachoita kukereka badala ya kusema roho inakuuma kusikia huo ukweli...
Hii Ndiyo classical Utopia.... Huyo EL angekuwa anawafikiria wananchi huko Monduli wangekuwa na ufukara walionao?! Kama hamna cha kuandika kaa kimya ... Hiyo nayo ni busara.
Kwanza hamna kesi hapo hizo karatasi zimetayarishwa ziko plain... Ni gagari tu....
Na ingekuwa Kweli ,
Unafikiri hao wana sheria wanajilipa toka wapi? Safari za Arusha zitagharamiwaje? Malazi na chakula nani analipa ? Hapo imeshaundwa "OPERATION " sasa Ni kula tuu.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.