Mbona mnanichanganya? Jana nimemsikia Kafulila VOA akipinga ubovu wa serikali ya JK na kukataa kuwa CHADEMA ndiyo wachochezi wa migomo. Sasa sijui nini ni nini, nani ni nani!
Ni jana tu,Spika ametamka kila Mbunge akopwe Milioni 90 kununua Motokaa yake inayoweza kuhimili barabara mbovu za Tanzania!
Vilevile serikali imeamua kununua pikipiki za miguu mitatu "bajaji" kutumika kubebea wagonjwa mahospitalini huko vijijini! (sijui huko kuna barabara nzuri?).
Hebu Wana...
Asipoacha Ukurupukaji,bunge litamfukunyua na kumgagadua,hatimaye umaarufu anaotaka ataambulia "ufuliaji". Akichakachua tu, atajikuta ni Spika wa kwanza kusababisha uvunjifu wa Amani Bungeni na Tanzania kwa Ujumla. Aluta continua Godbless Lema!
Udom msipowazomea hao wakina Thobias na uongozi wenu mtazidiwa hata na vyuo vya diploma. Msiogope kufelishwa na wanathithiemu,hata thithi Udsm dhamani tulibanwa hivyo,lkn misho wake tulichomoka.
Kwa hali kama hii,nashindwa hata nisemeje, lakini Tanzania kilichopo ni WOGA na si AMANI!! Hao askari wanatumikishwa vibaya. Naamini askari hao ukifungua mioyo yao hawako radhi,ila kwa sababu ya kile kinachosemwa HAKUNA KUHOJI ndani ya jeshi. Jamani enyi watawala,siku Watanzania...
Waziri mwenye dhamana ya mauaji,Shamsi V. Nahodha,ametoa kauli ambayo yeye mwenyewe anaonekana haelewi anachosema. Nahodha alisema vurugu za Arusha ni ugomvi wa kisiasa hivyo utasuruhishwa kisiasa! Nahodha haoni kuwa kama kweli huo ni ugomvi wa kisiasa,basi hakuwa na sababu ya kupeleka wauaji...
Enyi wana JF,msimlaumu,hapo ndipo uwezo wake wa kufikiri umeishia! Asipokula kuku na mayai ya kichina anaweza kufikiri zaidi ya hapo. Kama JK anaamini hahusiki na DOWANS hebu aend mahakamani,mbona alitajwa kwenye orodha ya MAFISADI na haendi mahakamani. Tetea hizo Hela ili uhongwe 2015
Mamlaka iliyoko chini ya katiba mbovu ikimwambia makamba aue anaweza kukubali? Probably mzee huyu anaweza maana uzoefu unaonesha mamlaka hiyo hiyo imemuweka mamlakani mwalimu wa skuli ya msingi aliyebaka!
Viongozi wa dini mnavyokubali Biblia takatifu inavyochakachuliwa na Mzee huyu kilaza wa...
Kama viongozi wa dini wanakaa kimya Pale Makamba anaposoma Biblia kichwa chini miguu juu,basi dini ya Kikristu nayo inaelekea kuchakachuliwa. Makamba Biblia si Imani ya CCM ambayo wewe na wenzako mmeichakachua kwa kupoteza ule usawa wa watu na kuweka matabaka kati ya nyie MAFISADI na WANYONGE...
Katika kile kinachosemwa ni kutofurahishwa na namna jeshi la polisi linavyoikanyagakanyaga misingi ya Demokrasia,wasomi udom wanajiandaa kuitwangia serikali waraka wenye kurasa 100 kuilaumu.
Tetesi hizo zimeibuka mara jeshi la polisi kupitia IGP MWEMA kuyazuia maandamano ya CHADEMA kwa kile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.