Habari wana jamvi.
Ninaomba kuuliza kwa mwenye taarifa ya nafasi za kazi zilizotangazwa na TPB Bank za Bank officers 2 (Pemba), deadline yake ilikuwa tarehe 16/07/2018. Je wameita watu kwa ajili ya usahili?
Habari.
Mimi huwa nafanya jogging ambapo huwa natumia saa moja
au mawili. Huwa ninaumwa na kichwa baada ya mazoezi (siyo mara tu nimalizapo), nikiwa nimepumzika.
Tatizo ni nini, na je itaniletea madhara gani?
Naomba kuuliza.
Helo members!
After applying through Ajira portal, getting to know that my application has been successful. How do I receive feedback, is it either through my email or.....?
Habari wadau.
Mwenye information kama Tanroads Tanga. Wameita watu kuanza kazi, maana kimya king I tuko interview zifanyike November 2016?
Au mwenye information kwanini recruitment process inatake long time?
Shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.