Kwa tathmini yakinifu, mwaka 1995 upinzani uligawanyika sana na hukuwa na mipango yeyote ya maana. Hata hivyo upinzani ulipata kura za urais asilimia 40%. Mwaka 2010 upinzani pia ulikuwa dhaifu na hawakuwa wamejipanga vema. Hii kasi ya CHADEMA mnayoiona imeanza baada ya uchaguzi wa 2010.
Hata...
Yanaweza kusemwa mengi ila lililo dhahiri ni kuwa CCM hawana uwezo wa kuchukua political risk kubwa hivi. Lowassa ni kama kidonda cha mguu, uukate mguu upate kilema cha maisha au uutibie? Wakichukua njia ya kukata mguu uchaguzi mtaupoteza na hapo ndio mwisho wa ccm
Wandugu,
Kila mmoja ameshuhudia jinsi Mh Lowassa alivyotikisa nchi. Watu wenye mawazo madogo wanasema jamaa anatumia pesa. Jiulize huyo jamaa ana trillion ngapi? Ukweli nyota yake imeng!aa na anakubalika na zaidi ya 60% ya wana CCM. Kama CCM wana ubavu basi wakate jina lake. Ataondoka na...
unataka ushahidi wa aina gani? Muulize kama hajafutiwa matokeo. Muulize kama alikata rufaa kama alionewa maana baba yake alikuwa mkuu wa mkoa asingeweza kukubali mwanae aonewe. Muulize waliokatiwa matokeo walikuwa wangapi? Maana ingekuwa darasa zima sawa lakini alikuwa yeye peke yake
Feedback
Umepatia kamanda. Kwanza ZZK namwona kama dictator maana haamini katika mawazo ya wenzake na si team player. Ndio maana alikuwa haamini kwenye maamuzi ya vikao. Pili kama ulivyosema si mtendaji maana ofisi yake chadema hakuwahi kufika. Anapenda tu vyeo ila hawajibiki
laki si pesa
Mkapa alisema kama unadhani wewe Ni maarufu kuliko ccm basi nenda upinzani tuone kama utaendelea kuwa maarufu. Chadema imefanya vizuri serikali za mitaa bila zzk sasa itasambaratika vipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.