Search results

  1. Designer_3434

    Nahitaji ushauri kuhusu TV nchi 43

    Rejea kichwa cha habari hapo juu, nataka kununua Tv nchi 43 ipi kampuni nzuri, Bajeti yangu 500k.
  2. Designer_3434

    INAUMA SANA

    inauma sana pale unapompenda mtu alafu yeye anakuchukulia poa.
  3. Designer_3434

    WAKUU NAOMBA MSAADA KWA HILI.

    Nimedownload App ya POPCORN TIME, Ila inagoma kuangalia Movie inasema niakitivet VPN, nami sina hela ya kulipia, Kwa hiyo naomba kama kuna mtu anajua jinsi ya kuangalia bure anisaidie tafadhali. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Designer_3434

    Natafuta game la drafti

    Natafuta Game la Drafti lile amblo unacheza na mwanamke anavua kila ukimshida. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Designer_3434

    NAOMBA KUFAHAMISHWA TAFADHALI.

    Maana ya Jina la Gladness kwenye Bibilia Limo, Pia Naomba kujua Hili Jina kwa kiswahili Linaitwaje? Tusaidiane wakuu. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Designer_3434

    Karibu wote.

    Christmas ndo imeanza Karibu Wapendwa.
  7. Designer_3434

    Msaada unahitaji hapa

    Natafuta movie ya Vantage point YouTube, kwa yule alie na link ya kuipata hii movie msaada naomba anipatie.
  8. Designer_3434

    Nina shida, nahitaji mkopo wa haraka haraka

    Husika na kichwa cha Habari hapo juu, Natafuta mkopo wa haraka haraka, natafuta kiasi cha laki na nusu tu nitarejesha baada ya wiki mbili. Tafadhali naomba kusaidiwa. Yesu Anaponya.
  9. Designer_3434

    Ushauri Wapendwa

    Nataka kununua Gari ya Matumizi ya Nyumbani, kwa hiyo Naomba ushauri wenu, Ipi Gari nzuri kwa Matumizi ya Nyumbani, Bajeti yangu Mlioni Ishilini tu?
  10. Designer_3434

    Shukuru kwa kila jambo

    Kama kichwa cha habari kinavyo jieleze, Mwaka 2017 ukawe na Baraka, Amani, na Upendo, kwako Rafiki yangu. Nikutakie Mwaka 2017 wa Amani Rafiki yangu.
  11. Designer_3434

    Nataka kuoa.

    Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza Wadau, nipo kwenye Mchakato karibu sana.
  12. Designer_3434

    Sikukuu njema member wote

    Usiache kwenda Kanisani kesho. Asante sana
  13. Designer_3434

    Naomba tusaidizane hapa Wadau.

    Natumia simu aina ya Sony Xperia Z1 sasa wadungu imejifunga na sijui itaifunguaje, so kwa yule anae fahamu kufungua ,Naomba Anisaidie kufungua, imejilock na Lock za Pattern?
Back
Top Bottom