Kwakweli huyu mama Baya Biubwa Ibrahim ni mwizi kwani kwenye kampuni yake ya Namaingo Business Agency Ltd alisajili na kuwa Wakurugenzi watatu yaani Mwanae na Nduguye wa kike. Sasa cha ajabu alikuwa hajasajiliwa na NEEC na hata Brela hakuwa na usajili wa PLC yaani Public Limited Company ambayo...
Hizi hapa chini zina muonyesha huyu Biubwa Mkurugenzi wa Namaingo akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mwakilishi wa Ikulu Utumishi, Mkurugenzi wa TBCCLTD, na Watumishi wake na Ugeni wakiwa Majohe, Dar wakati wa ufunguzi wa mradi wa sungura.
Huyu mama Biubwa wa Namaingo ni bonge la jitapeli tena la kimataifa alafu ni darasa la saba kama Papa Msoffe na Alex Massawe, Sasa huyu huwa anatumia viongozi wa Serikali mfano Mkuu wa Iringa Mama Amina Masenza angali picha na mwakilishi kutoka Ikulu, Utumishi na watumishi wake au washirika...
Naona JPM anayarudia matabishi yake akumbuke mzunguko wa fedha kwa walaji wa mwisho upo chini sasa hata mfanyabiashara lazima atafunga duka lake kwani hauzi na TRA wapo mlango wadai kodi zisizo rasmi na hata huyu mtanzania bado anadaiwa kadi lukuki mfano PAYE, VAT and excise duties ambazo hulipa...
Unajua Dogo Nape kilichomponza ni kujisahau kuwa CCM yenye ndiye vibrate youth hakuna atayemgusa. Kumbe sio sahihi mara Wema Sepetu to fight for her devilish act.
Viva JPM, Viva CCM, Viva Babu Seya, Viva Papi Kocha, and Viva Tanzania, Ziii Keko and Judicial Systems over forceful sentencing led by directives and Corrupt law enforcers. Rhumba kwa kwenda mbele sasa. Seyaa wa mikwalo!
U know this country bhnana has big big problems of handling matters and I wonder JPM knew that the very company suspended or chased away by JPM himself when he was a minister of works and construction we are paying on our brad nose! Presidency is an institutional everyone knows except for all...
Unajua kazi inakuwa ngumu kuwabana au kuwakamata itabidi Marais JMK na BMW ndio aanze nao na yeye awepo kwani mabaraza yote ya awamu ya 3 na 4 alikuwamo na kwann hakuweka shilingi kupinga hiyo miswada aliogopa kufukuzwa kazi? Hivyo basi makinikia ni sinema tu kwa TZ kuonyesha kuwa anajali na...
Hata Rais Moi wa Kenya alikuwa Mwalimu wa Shule na Kapi-experience ya siasa pori za ukali na ukabila na kufikisha kenya pale ilipo kuanzia kwa mfungwa late Kenyatta expert wa tribalism na nepotism nchini kenya ambaye ameacha crisis ambayo taifa la Kenya linaweza kugawanyikuwa kama North-South...
Naona hali ya kisiasa TZ haiko shwari cha msingi msaada au collective agreements ya nchi nzima na Urais wa nchi ni Taasisi ambayo inahusisha mikoa yote na watu pasipo kujali au kuweka kupendelea kabila fulani that is wrong nchi itakuwa nzito kimtazamo.
Hii kali kabisa fagio la chuma linapita?
Hii kali kuliko kwani madudu au taka zote zitakwisha na ile thana ya code of good governance itatimika na kuwa na viongozi wenye weledi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.