Akitumia barua anajua magazeti hayatapata headlines. Yani serikali imejaa watu wa misifa tuuu.
UMELOGWA TWAHILI, SIO BURE. KAMA HUWEZI KUSOMA HATA KUTAZAMA PICHA HUWEZI????
Shida hapa ni moja. Yaani baba akiwa kichaa sio ajabu kuona anazaa watoto wendawazimu. Waliangalizia alivyokuwa anafukuza JPM na wao wanaiga. Kumbe ukiIga kunya kwa tembo..........
Hata hivyo kama JPM tamko aliloitoa ndani ya ya miezi minne tayari amelitengua anapaswa kujitafakari. Siujui...
Na kingekuwa kinamilikiwa na wakatoriki hakuna mwanachuo anayeweza kusubutu kuanzisha fujo. Ila wahindi ni waoga tu. Fuatilia kam,a kuna SAUT yeyote yenyew historia ya migomo? "ukatorick sio dini ni utawala"
Yericko na wanajukwaa naomba tusaidiane , "Kuna uhusiano gani wa kifalsafa na utendaji kati ya CCM na FLERIMO ya sasa?" Pia izingatiwe kwamba mwaka 1976 vikosi vya Tanzania vilikuwa vimeambaa katika viunga vya Maputo na hadi mwishoni mwa 1978 ilibidi askari wa Msumbiji waje kusaidia Tanzania...
St. Joseph sio ya wakatoriki labda St.Augustine. Pia magazeti huwa hayaangaliwei bali yanasomwa"Read newspapers" pia website huwa haiangaliwi bali inatembelewa " Visit our website"
hivi kweli notisi hii imetolewa na mkuu wa chuo au?
Kesi zilizomkumba JPM kwa sababu ya ukurupukaji na ufukuzaji wa wakandarasi ni nyingi na karibia zote serikali ilishindwa hivyo kodi yangu , mimi na wewe ndizo zilifidia hasara ya ukurupukaji wa waziri wa ujenzi enzi hizo JPM. Na tayari hadi sasa waliofukuzwa TPA wameshafungua kesi mahakamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.