Amechemka kwa mawazir kuwarudisha walewale alikuwa anaenda vixur ila hapo shida hii Tanzania wasomi ni hao hamna wengine maana wengine ni mzigo Wa kikwete
Mwanamke ukimpa Pesa lazima uambiwe I love u much ukimpa vocha anawasiliana na mchepuko hatakuweka ww kipaumbele kifikra so ushaur wang acha wote wambie kila mtu sasa nimeamua kuokoka niishi maisha mapya na Yesu uachane na dhambi
Acha mchepuko ww je na mkeo akiwa mchepuko nn kinatokea Pepsi ni Pepsi haiwez kuwa fanta bn radha ni ileile tena mkeo ndo atakuwa mxur kuliko hao wengine hizo Pesa unazohonga mpe mkeo apendeze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.