Jamani naombeni nianze moja kwa moja kwenye mada, maana kuna sehemu nilikuwa napata moja moto moja baridi sasa mwenzangu mmoja baada ya kukolewa na maji akatoa kauli hii "hapa ni kunywa na kukojoa ila heshimu nyege tu, maana bila nyege usingezaliwa wewe" JE KUNA UKWELI HAPA?
Sent using Jamii...
Jamani karibuni nyote tukumbushane yale yote tuliyopitia meta secondary school, mi binafsi namkumbuka mwalimu MWANGOKA, MAHENGE NA JOB karibuni kwa visa na vituko.
Post sent using JamiiForums mobile app
Wanajukwaa kama kichwa kinavyosema hapo juu, hapo mwanzoni nilikuwa mpimaji VVU mzuri sana , sasa juzi juzi hapa nikampata mrembo fulani ambaye kwa kweli alinivutia sana mpk kupelekea kufikia tamati ya kuingiliana kimwili. Sasa kama wiki tatu zimepita nikamfumania anabugia dawa zetu zile na...
1. Fanya mapenzi hata mara moja tu na msichana ambaye hakuvutii ila tamaa tu bila kutumia condom majibu utayapata muda si mrefu.
2. Fanya mapenzi na housegirl bila kutumia condom, utayapata majibu muda si mrefu.
3. Majibu utakayoyapata ndo ujue wewe una uwezo au la.
Swali kama lilivyo hapo juu bado huwa najiuliza ni kwa nini wanawake au wasichana wenye mimba ya kuanzia let say miezi sita kwenda juu, hufanana sana miondoko yao au ni wanaigana tu.
Nimeanza kwa hiyo heading kwa makusudi kabisa maana kumekuwa na eidha ulimbukeni ama kujitetea kwa baadhi ya watu hasa baada ya kuguswa kwenye sakata zima la madawa ya kulevya maana ni wengi sana wameshutumiwa kuhusu kughushi vyeti tokea enzi za msemakweli kainerugaba lakini sikusikia mt...
Analazimisha mambo ambayo kimsingi hapaswi kuyafanya yeye kama yeye na pia wanamtuhumu kwa rushwa na uonevu sasa hizo ni dondoo fuatilieni mengine.
Na la muhimu amekuwa akitengeneza migogoro kati ya majirani ili wagombane wkt huo yeye akiwa upande ambao atanufaika nyie fuatilieni.
Kumekuwa na malalamiko ya chini chini kutoka kwa wananchi kuhusu utendaji wa huyu mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa mtwivila viziwi au mtwivila C kama inavyojulikana kwenye daftari la wapiga kura.
Sipendi umbeya maana nami nimeyasikia tu kwa watu. Naombeni uongozi wa CHADEMA sehemu husika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.