Habari za asubuhi wapendwa,
Nimeamka nikiwa na maumivu makali sana kwenye sikio la upande wa kushoto,nimejaribu kutoa uchafu lakini maumivu bado yanaendelea,kabla sijaenda kwenye kituo cha huduma ya afya,mwenye utaalam kidogo anisaidie hata kwa ushauri,dawa au huduma ya kwanza,karibuni!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.