Naomba msaada, laptop yangu inakataa kuingiza umeme, nikiwasha umeme tu taa ya adapter inawaka kidogo then inazima na zoezi huwa linaishia hapo. nifanyeje?
Bibi mmoja alikua ana deposit pesa nyingi benki kiasi kwamba meneja wa benki aliamua kwenda kumtembelea maana alikua ni mmoja kati ya wateja waliokuwa na deposits kubwa, alipofika nyumbani kwa bibi akamweleza kuwa alikuja kumtembelea kwa sababu ni mteja wao mzuri na pia angependa kujua bibi...
Wana jf, kila nikisikia au kuona matangazo ya malaria haikubaliki kabisa, matangazo ya kuitaka kila familia ipate vyandarua kwa kujikinga na mbu waambukizao ugonjwa huo na semina na makongamano kwa ajili ya ku discuss issue hiyo napata shida kufikiria ni gharama kiasi gani iliyotumika na...
Very happy, kupanda kwa bei ya petrol, kukatika kwa umeme, kupanda kwa bei ya vyakula, sijui maisha magumu, haviwahusu hata kidogo wanachojua asubuhi mkono utaenda kinywani, ikifika mchana mama atawapa msosi na jioni hawategemei kulala na njaa, maisha yenu magumu mtajua wenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.