Tumuombe Mungu atujalie na atuoneshe ipi ni dini yenye haki mimi nashukuru Mungu alinionyesha na mpk sasa nimebadili dini takribani miezi nane mimi pamoja na mke wangu wengi hatusome wala kujifunza dini za wengine tunasikiliziz maneno ya vijiweni kuwa normal ht km ww ni mkristo jaribu kutamni...
Baba hmn rangi tutaacha ona mzee mimi wangu nishazoeaa saiv mida ya usiku na asubuhii nikipiga simu nayoyahisi ni mulemule kuna namna napigwa tukio ila namvutia tu kasi naenda kuwa huru sasa baada ya utumwa wa muda mrefu ila ase tukatae ndoa wallah
Jamani usiku huu ni mzuri sana kama mtu unashida ukaamuwa kuweka simu yako pembeni walau Umuombe Mungu akutatulie jambo lako lolote unaloliona gumu Mungu atalifanyia wepesi jaribu utakuja kunishukuru
Kwanza jua hy mwanamke ni kabila gani maana kunamakabila kukaa na wanaume ni kipengele pili hy mwanamke mpaka anachika jua kunasababu wanaume hatuachagi bure pili unaonekana huwajui vizuri hawa wanawake angalia usije ukapoteza future yako mapema kisaa kukumbatia vitu vyenye migogoro amini...
Ha ha ha Pole ase si mfupi flani hivi rangi maji ya kunde kwa mbali anatasamau flani hv ukiwanae si unaona ndio hy sasa kifuani sio habaa km ni hy njoo dm nikurushie picha zake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.